Search results

  1. MANGI MASTA

    MAMBO 18 yaliyoachwa na kutozingatiwa na RASIMU YA KATIBA..by Prof.Lipumba

    hili la wajawazito sawa ila nawasiswas na hii nchi hata vikiwekwa havitatekelezwa
  2. MANGI MASTA

    Mtwara kimenuka: Mabomu ya machozi yarindima!

    Kwa Habari za uhakika miongoni wawlioonja shubiri ya mabomu ya machozi ni Naibu katibu mkuu CUF Julius Mtatiro.Hivi sasa mabomu yametulia na mkutano unaendelea na Mtatiro yuko jukwaani akihutubia
  3. MANGI MASTA

    Msaada wa waChina ulivyobadili maamuzi ya Serikali kuhusu gesi ya Mtwara.

    Kama hii mambo ni kweli basi nchi hii viongozi wa magamba serikalini sijui wanpotupeleka na mipango yao ya ajabuajabu
  4. MANGI MASTA

    Msaada wa waChina ulivyobadili maamuzi ya Serikali kuhusu gesi ya Mtwara.

    Hii nchi bwana kila kitu Dar es Salaam kwani Dar kunanini.Af ni hatari sana maana dar ikijakumbwa na janga kubwa basi Tanzania nzima kwisha kazi.Lazima tuutawanye uchumi na vitegemezi vya nchi
  5. MANGI MASTA

    Msaada wa waChina ulivyobadili maamuzi ya Serikali kuhusu gesi ya Mtwara.

    JK hapa alimiscalculate sana kuacha ujenzi wa bandari ya Mtwara na kushika ya Bagamoyo.So what,wamkumbuke?
  6. MANGI MASTA

    Msaada wa waChina ulivyobadili maamuzi ya Serikali kuhusu gesi ya Mtwara.

    Ila chondechonde kwa watu kusini msije mkatoboa mabomba mtaleta mauajii bora mtafute mafundi wayafungue..basi
  7. MANGI MASTA

    Msaada wa waChina ulivyobadili maamuzi ya Serikali kuhusu gesi ya Mtwara.

    Ujinga wa baadhi ya watu wa daraja la 3 kifikra badala ya kujadili hoja na mawazo yanaanza kumjadili mtu.Hivi hapa kwa mtu mwenye akili timamu ni kumjadili Lipumba ama kile alichokisema...Nchi hii bado tunasafari ndeeeef
  8. MANGI MASTA

    Msaada wa waChina ulivyobadili maamuzi ya Serikali kuhusu gesi ya Mtwara.

    Hili ni bonge la Tathmini ambalo ni wanazuoni wachache sana hapa nchini wanacapacity ya kufanya uchunguzi wa kina na kulezea jambo kama anavyofanya Prof.Lipumba. Ki ukweli hapo kwenye RED ni kama utabiri wenye logic ila kwa serikali ya Magamba tutazarau weeeee baadae tutakimbaiana na kutafuta...
  9. MANGI MASTA

    TANESCO, Mgao wa Umeme waanza kinyemela?

    Takribani mwezi sasa huku kwetu Ilala kila baada ya siku moja umeme unakatika saa 2 na kurudi saa 10 jioni ama saa 2usiku. Wakati huo huo Tanesco kila siku wanatutangazia eti kuna wizi na hujuma za mitambo ya Tanesco nchi nzima. Cha ajabu Ilala (japo kunamalalamiko na Kinondoni) kila baada ya...
  10. MANGI MASTA

    TAHADHARI: Watumiaji wa BARABARA ya MANDELA eneo ya Buguruni sheli.

    mtindo huu umekithiri sana hasa mjira ya jioni watu wanapotoka kazini na foleni huwepo
  11. MANGI MASTA

    TAHADHARI: Watumiaji wa BARABARA ya MANDELA eneo ya Buguruni sheli.

    Wangeweza wangekuwa washaiondoa hii hali
  12. MANGI MASTA

    TAHADHARI: Watumiaji wa BARABARA ya MANDELA eneo ya Buguruni sheli.

    Kumeibuka genge la vibaka na mateja wanaiba vifaa vya magari huku likiwa kwenye mwendo.Wanaiba taa za magari,side mirror,taa,na vifaa vingine pamoja na Urembo wa magari.Hawa jamaa wako fasta sana gari linapoanza kuondoka kutoka mataa ya Buguruni sheli hulikimbilia na kuchomoa..kiukweli...
  13. MANGI MASTA

    Wachina wapekua nyeti za mama zetu Mwanza eti Ukaguzi..WITO: Tuchome VIWANDA VYAO

    Habari imenichefua hata jina sikulishika nafuatialia ntakuja muda si mrefu
  14. MANGI MASTA

    Wachina wapekua nyeti za mama zetu Mwanza eti Ukaguzi..WITO: Tuchome VIWANDA VYAO

    Nimesikitishwa na Kukasirishwa sana na kiwanda cha wachina Mwanza kuwakagua sehemu za siri akinamama eti kuona kama hawjficha chochote.Mbaya zaidi wanaingiza matambara habari hii imenitoa machozi..Na adhabu wanayostahili hawa wachina ni kuchoma viwanda vyao waondoke hapa nchini kwani najua...
  15. MANGI MASTA

    Si sahihi kwa ITV kuwapa Airtime uamsho kwa hali ilivyo sasa.

    Kaangalie kama marekani wanatoa airtime kwa magaidi kwenye media zao.Hao wengi ni arabic media coz wanainterest kama vile Aljeesira
  16. MANGI MASTA

    Si sahihi kwa ITV kuwapa Airtime uamsho kwa hali ilivyo sasa.

    Hivi itakusaidia nini kusikia maneno hayo na manaeno hayaohayo yakamfanya jirani yako aamke saubuhi na kuchoma nyumba yako na familia yako yote.THINK TWICE.Wahariri lazima wawe makini.
  17. MANGI MASTA

    Si sahihi kwa ITV kuwapa Airtime uamsho kwa hali ilivyo sasa.

    Kwa tanzania tatizo hili ni kubwa.Mhariri lazima awe makini sana.Si kila taarifa jamii lazima ijue(public consumption)kutokana na athari zitakzo tokea baadae.
  18. MANGI MASTA

    Si sahihi kwa ITV kuwapa Airtime uamsho kwa hali ilivyo sasa.

    Inasikitisha kwa jinsi tunavyofikiri kwa kuangalia upande mmoja wa shilngi.Nadhani wengi hatuelewi jinsi media inavyofanya kazi na uwezo ilionao kuathiri jamii kwa kurusha hata kipande cha sekunde moja cha taarifa chochezi
  19. MANGI MASTA

    Si sahihi kwa ITV kuwapa Airtime uamsho kwa hali ilivyo sasa.

    Habriya Leo saa mbili usiku Kwa mujibu wa maadili ya vyombo vya habari hasa wakati huu wa amani tukiwa tumeiweka rehani si sahihi walivyofanya ITV 1.Kumpa airtime kiongozi wa uamshoo kutoa tamko lake la kuipa selikali masaa 26 na kuhamasisha uamsho wenzake kwa lolote litakalotangazwa. 2.Kumpa...
  20. MANGI MASTA

    Waziri wa CUF aiporomoshea CHADEMA matusi!

    Madhumuni ya Chama cha wananchi CUF kama yalivyo katika Katiba yake ni, "Kuwaunganisha watanzania wakatae uonevu,kudhalilishwa,kunyanyaswa,kubaguliwa au maovu mengine yanayoweza kufanywa dhidi ya heshima ya utu wa binaadama, yawe yanayotendwa na Serikali, kikundi cha watu walio na uwezo kwa...
Back
Top Bottom