Ningekua na uwezo wa kumtoa mtu uanachama wa Jamvini wa kwanza ni wewe...ninapouliza swali kama hili haina maana kua mm nafanya hivyo ila ni maada ambayo myaweza kutoa Fundsisho kwa watu ambao bado wako Gizani kama wewe hata hivyo siwezi kurudisha tusi lolote kwako maana na Imani unatawaliwa na...
ok ni sawa lakini kubadilika hayo ni matokeo ya baadae sasa mm nataka kujua wakati huohuo akiwa anaomba msamaha Je huko anamaanisha au ananizuga tu...ndo shida yangu
Habari zenu mabibi na mabwana? kweli hapa jamvini kunavitu vingi sana nimevipata kutokana na michango yenu kwenye topic au maswali mbalimbali ninayo uliza sasa kunakitu kimoja kinanichanganya sana nacho ni;
Wanawake mara nyingi sana hulia machozi kama ishara ya kujutia kosa....lakini nimekuja...
Nashukuru mkuu japo Nursing nasikia kwa mwaka huu tayari Deadline imeshapita..labda kama unahabari kuhusu chuo cha kilimo nacho chaweza kufaa..maana Dogo ana C ya Bios na C ya Civics mengine yote ni D isipokua Math and kiswahili
Habari zenu mabibi na mabwana,ninamdogo wangu wa kike kahitimu form four ana Div four ya point 27 namtafutia nafasi ya kusoma (Chuo) hasa hasa Nursing,Kilimo or Teaching vyenye ada dogo kuanzia Laki 7 na kushuka chini kwa mwaka
Natanguliza shukurani za dhati.
Amani iwe kwen....!!
Je ni upi utaratibu mzuri wa ki-Tanzania wa kumvalisha mtu pete ya uchumba ?...maana hua naona wengine wanavalishana mbele ya marafiki,wengine wanafanyiana supulize (oooh baby fumba macho zen anamvalisha wakiwa wawili tu)...wengine huandaa tafirija fupi ambapo utakuta hadi...
Asanteni kwa mchango wenu nimepata mwanga..........japo nilichokiona mpaka sasa ni bora mlingane au mmtofautiane kidogo maana mkizidiana sana ni kero,kwa mfano mwanaume wa miaka 45 amuoe msichana wa 20yrs naamini kwanza interest ya mzee na kijana ni tofauti hivyo hapa hamuoni kutakua na tabu...
Wanajamii nawasalimu kwa jina la Mungu aliye hai....mimi kunakitu hua kinanisumbua eti kwa kawaida mnatakiwa kutofautiana kivipi katika umri kati ya mke na mme maana utakuta wengine wanasema oooh kaoa mtoto wengine hoo kaoa mzee naajabu utasikia oooo wanalingana umri mwanamke atamzeekea...
Ulianza vizuri kwamba asikariri mila za miaka ya 47 ila Dunia imebadilika sasa kwa nn na wewe unasema eti ukipoata mke wa kichaga hutalala njaa...?hujui hata wewe bado unakalili vilevile sema kikubwa ni kupata mwanamke mwenye akiri,mwenye kumuogopa Mungu,anayejiheshimu na mwaminifu bila kujari...
Swala sio uswazi tu bali ni madem wote.....hata hivyo siwezi kuwalaumu sana maana binadamu yeyote huhitaji urahisi wa maisha hata kama ungekua wewe nazani ingekua hivyo hivyo tu..............
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.