Mungu ampe Magufuli busara ya mfalme Suleiman, amtimue Makonda afanye safari yake ya kwanza nje ya bara la Afrika aende akaombe msamaha bila hivyo kila mradi wake utabaki mashakani.
Baada ya Brexit ya Uingereza na nchi za ulaya sasa Marekani wameamua kum BREXIT makonda na watanzania, inauma sie kujumlishwa kwenye makosa ya huyu FFFFF, lait meko angemskiliza gwajiboy.
Dah! nikiwa form four mwalimu alitaka tuimbe wimbo kwenye graduation yetu, sasa akaniuliza mimi nitaimba sauti ya ngapi nikamwambia mwalimu SIJUI, aisee! ikaonekana nimemdharau nikacharazwa sana fimbo wakati ilikuwa ni kweli sikuwahi kuimba wala kujua sauti yangu ni ya ngapi lakini nilionekana...
Sio usalama huyo, bali ANAJIITA, Sabaya anapenda sana KIKI, huo mpango kautengeneza mwenyewe ili aonekane anachapa kazi, hakuna maana ya kuharibu miundombinu ya hai amabyo hata haijaanza kazi waache kuhujumu miundombinu ya reli iliyo tayarai kazini na amabyo ndio njia kuu kutoka Dar to...
Sabaya ni mpuuzi tu, tangu ajibambike usalama wa taifa FAKE, kila mwenye akili alijua huyu ni TAPELI, na kwa sababu kuna mtu MMOJA tu alieamua kumpa mdaraka makubwa ili aumize wengine maana ana sifa ya ukatili amabayo kwa awamu hii ndio kigezo kikubwa cha kuwa kiongozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.