we ni mpuuzi mwenye laana kama za lulu na upuuzi huu uliondika ipo siku utakutokea puani kama ulikuwa na chuki na marehemu happa si mahala pake ama kama ulishawahi dhalilishwa na mwanaume wako usifanye ulionganisho hapa umekosa hoja ya msingi na kuingiza ***** pole sana akili zako zimelala kama...
acha uongo mwana kama ni siha bonta mi nilikuwa nae class moja na hakuwa na hizo issue za wizi acha kumchafua mwana kama sio mpango we ndo ulikuwa mwizo wa kahawa paka babu ng'unda akakukamataga nakujua sana wewe!
Mi nilikuwa kwa kampeni mwaka juzi hanang nilizzunguka kata zote 25 paka zile mpya za simbay na gisambalang kule mppakani na kondoa,getanuwas...dah acha tu thanx kaka!
Assalam aleukum ndugu zangu,nina jambo moja nataka kuliweka hapa japo tusaidiane katika hili!nimekutana na dada mmoja bahati nzuri nakaa nae mtaa mmoja nikatokea kumpenda sana ila cha ajabu huyu mwenzangu baada ya kuanza mahusiano akaanza mizinga mwanzoni nikajua ni ya kawaida tu so sikushtuka...
Halafu jamaa aache usanii maana anajifagilia mwenyewe maana ndo jina lake mr pamba ni mwanamuziki anayejiita mr simple sasa kwann usiweke mambo hadharani kuliko kupitia mlango wa nyuma kwa kofia ya mh mbunge?acha. Hizo bana mi nakaa sinza barabara bado mbaya sana fanya kazi acha kujipaka mafuta...
Sasa kwa matusi hayo kwa wana igunga nadhani mnajisahau kuwa kuna uchaguzi 2015,hivyo wapeni hongera kwa kupunguza zile asilimia si matusi kama hayo ambayo hayafanani na great thinkers...
Wasalaam aleukum bandugu bapenzi,na baada ya salaamu hii naomba kuwasilisha kile ambacho Kinanisumbua kichwa changu na kuhitaji elimu ama. Uelewa katika hili...je ni kweli kuwa hakuna mashine maalumu za kumkagua ama kumbaini mtu kama kabeba madawa ya kulevya mwilini mwake?maana kuna rafiki yangu...
Na wewe jiandae kuchoka hivyo hivyo maana paka binadamu mna discuss afya ya mwenzenu ni ukosefu wa akili kichwani na kazi anapiga vizuri kabisa hata kuliko walio wazima kama wewe
<br />
<br />
mi nina asili ya huko na baadhi ya ndugu zangu paka leo wanaishi huko,nachoweza kusema naifahamu hali ya kule kwa kiasi kikubwa na kinachosemwa ni kweli!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.