Gari halikuwa na alarm?
Nimefikiria kwa haraka haraka, hivi ukiachilia alarm ya kwenye gari hakuna alarm system ambayo naweza kuset kuzunguka fence ya nyumba usiku kiasi kwamba mtu akigusa tuu alarm italia?
Pia plan nyingine ni kuset nyaya za umeme za kupiga shoti kuzunguka fence yote...
Nimeshamfahamu huyo mtoto wako, jana nilikuwa naye alikuwa anaulizia kitu hicho hicho. Nitamsaidia mkuu usijali ila na yeye atanisaidia in kind maana mzuri kweli kweli
Kosa lako la kwanza ni kujilinganisha na wengine. Kamwe ukifanya hivyo hutakuja kuwa na amani ya moyo na hutakuwa na malengo yako. Mimin nina gari, nyumba, mke na watoto na kazi ya salary 1.5m lakini kila nikijilinganisha na wengine naona mimi maskini wa kutupwa, nikiangalia kuna waliokuwa nyuma...
Naomba mwenye kukumbuka anisaidie hiyo statement aliitoa Nyerere, mwaka gani na kwenye tukio gani. Ikiwezekana na kitabu chenye quotation ya hiyo statement nitafurahi
Ndo tulipofika mkuu. Mwananchi wa kawaida ukitoa taarifa utashtakiwa maana wewe siyo mamlaka.
Kuna jamaa yangu alipata ajali ya gari usiku akafa pale pale. Mwanzoni kabla hajafa tulikuwa tunahaha kwenda kuokoa maisha yake lakini kabla hatujaondoka tukapigiwa simu kuwa amesharest in peace. Kwa...
Daaaaah, asubuhi hii nimeamka tu nikajikuta jicho linapepesuka kwa spidi ghalfa nikasema "in the name of Jesus, shetani shindwa". Nikafumba macho nikasali, ile nafumbua macho nawasha data nakuta hii habari. So sad.
Ukitaka kudanganya walau uongo ukaribiane na ukweli.
Kumbuka juzi tu hapa tumeambiwa na jiwe watanzania siyo wajinga kivile....
Kwa hiyo tuseme aseme amenunua ikiwa na 0km, ikatembea kutoka Dar mpaka Msolwa tuu ndo imefika hiyo 115
Uzi mzuri sana huu ila tunaomba utuwekee na upande wa pili... Mambo ya kuzingatia unapouza gari! . Mimi nauza Spacio new model, sasa nimekutana na mambo kadhaa. Hapo kwenye namba 3. wameshakuja madalali kama watatu, wote wanakwamia bei ya 6.5m, mwingine 7m, mwingine 7.5m. Mimi nimetangaza 8m...
HUYO ANAYEPONDA SHULE ZA WASABATO HATA HAJUI MATOKEO YA SHULE ZA WASABATO, ASINGEANDIKA UPUPU WAKE HUO, NIMEMUWEKEA MATOKEO HAYO HAPO
1. GOODWILL SS, DIV. 1= 2, DIV 2= 10, DIV 3=21, DIV 4=3, DIV 0=0, KIMKOA YA 9/45, KITAIFA 82/1371.
2. Tanzania Adventist, DIV 1=4, DIV 2=29, DIV 3=36, DIV 4=14...
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK, INAONEKANA UNA CHUKI NA WASABATO, ANGALIA MATOKEO YAO HAPA CHINI ALAFU UJE TENA
1. GOODWILL SS, DIV. 1= 2, DIV 2= 10, DIV 3=21, DIV 4=3, DIV 0=0, KIMKOA YA 9/45, KITAIFA 82/1371.
2. Tanzania Adventist, DIV 1=4, DIV 2=29, DIV 3=36, DIV 4=14, DIV 0=2, KIMKOA YA...
NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK, INAONEKANA UNA CHUKI NA WASABATO, ANGALIA MATOKEO YAO HAPA CHINI ALAFU UJE TENA
1. GOODWILL SS, DIV. 1= 2, DIV 2= 10, DIV 3=21, DIV 4=3, DIV 0=0, KIMKOA YA 9/45, KITAIFA 82/1371.
2. Tanzania Adventist, DIV 1=4, DIV 2=29, DIV 3=36, DIV 4=14, DIV 0=2, KIMKOA YA...
Hakuna kinachoshindikana chini ya jua. Inategemea specifications na ubora wa gari lenyewe. Kuna rafiki yangu kauza Raum hivi karibuni 4.5. ila hata ukiangalia kwa macho unaona kabisa gari limechoka hata mngurumo wake.
Nikuambie kitu mkuu? Mtu anaweka price tag ya gari kulingana na sababu mbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.