Kama upo shortsighted pia si rahisi kuona makosa. Suala la elimu sio la kucheza nalo. Tulidhani tunaelekea kwenye elimu bure had vyuo vikuu. Ila kwa mtazamo huu. Tutasubiri sana
Hayo ndo mazingira ya kukaribisha vichocheo vya rushwa. Hayo mawazo yake ni "shortsighted".
Sent from my Infinix NOTE 2 LTE using JamiiForums mobile app
Nadhan kaambiwa ili aongeze visibility kwa JPM ni lazma aishambulie CDM. Anapoteza muda mana hana uwezo wala sifa ya kuichafua chadema. Alishindwa Dr. Slaa, yeye nani???
Mziki wa CDM hata JPM anaujua na ndo mana wanaingiza had vyombo vya dola viwasaidie mana kwa haki bin haki asubuhi sana...
Huyu hajui kuwa anajichoresha. Katika huo mkutano hakuna asiyejua kuwa anachokifanya hapo ni unafki.
Anataka watu wapeleke ushahidi wa watu wanaonunuliwa. Inamana yeye clip ya Nasari hajaiona? Au anahisi waluomo kwenye huo ukumbi ni mazuzu na hawajaona ushahidi wa watu wakinunuliwa? Au ameamua...
Nani kasema vijana wa ccm hawapo kwenye mitandao?? Tunao humu siku zote ila hawawez jibu hoja za wapinzani.
Unamuuliza Kijana wa ccm, nyie mlimtukana Lowassa aliposema akiwa Rais atawaachia hutu akina Babu Seya, Leo JPM kawaachia huru je yale matusi yenu yamhusu pia JPM? Hapo unataka Kijana wa...
Piga kura ya hapana wkt wa uchaguz. Ukituambia aondoke now ni sawa nankutupigia kelele. Sio muda wa uchaguz huu.
Wengi hawamtaki JPM ila hawawezi kumwondoa kwa matamko ya kwenye social media.
Maandalizi ya Kiki tu haya. CCM wametega michongo ili tuone wapo serious na rushwa. Kama wapo serious watutajie waliobeba hela za escrow kwenye Sandarusi Stanbic waache kutupa ubize na virushwa vdg.
Nadhani wapo kwenye majadiliano. Siyoshanga kusikia mmoja kafika bei. Kuna wa vyama vingine naona wana/watachukuliwa tu hata kwa mkopo. Mana wanaona wasipoondoka kwenda CCM watashuka daraja na team yao.
Inasikitisha na kushangaza kuona kwamba ccm ya Leo inaona ni ufahari mkubwa sana kurubuni na kupata mchezaji wa CDM/CUF.
Yani hapa inakiri kuwa ccm inawachezaji mizigo na wachezaji wazuri ni lazma inunue wa timu pinzani ili iweze kusonga mbele.
Kwakweli CDM imeweza kuwajaza CCM na wamejaa...
Pascal Mayalla unapaswa uelewe kuwa Tume iliratibu uhuni uliofanyika jana. Huu sio uchaguzi wa kwanza kufanyika Tanzania. Figisu tulizoziona jana kimsingi zinafuatia agizo la Rais la kutaka Wagombea wa CCM watangazwe hata kama hawajashinda. Mana alisema "inashangaza watu tunawalipa mishahara...
Hapo ndipo panapoumiza. Kuna kila dalili kuwa hii nchi tumewaachia wajinga watuongoze. Kwakweli tusitegemee la ziada. Mbaya zaidi kitakwimu wala hawapo wengi, ila wanatuyumbisha kweli. Wah!
Si uanzishe uzi wako?? Yani nyie akili zenu zinafanana kweli. Sasa hapa unaona ni sehem inayofaa pachika hiyo barua?
Worse enough, kinachoendelea Arumeru kishafahamika kwa werevu, kama mnadhani mtaattract attention ya wenye akili timamu mnajidanganya sana.
Kama mliweza nunua diwani anayelipwa...
Hapa Spika, Bunge na CCM wote wamejamba hadharani.
Kuna msemo unasema CHIZI akikaa kimya huonekana ana Busara/Mwerevu. Response ya CCM/Spika kwenye hii issue imetudhihirishia Watanzania mchana kweupe kuwa tunaongozwa na wenye akili ndogo. Ndugu zangu watanzania, Kuendelea kuiacha akili ndogo...
Tani 138,000 ni potential production (kiwango ambacho nchi inaweza kuzalisha kama tungewekeza vya kutosha) kwa mwaka. Ila kiwango halisi ambacho tunazalisha inakadiriwa kuwa ni Tani 4860 (actual production) kwa mwaka. Nayo ni takwimu ya karibu miaka 20 iliyopita.
Jarida la Business Times...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.