We unayejiita MKUUWAKAYA nafikiri we ndio mtoto usiyeweza kujua hata nini unafanya...yani kutoa tu hiyo comment tayari umejadili...ungekuwa mtu mzima ungekaa kimya kabisa, ukue basi mana utoto wako wa facebook huku ndio hatuutaki kabisa, sawa bwana mdogo...!
Kama CCM mmeanza kufahamu kuwa kitendo kama hicho ni Unyama na ugaidi basi 'mmekuwa'....ungetumia kauli hiyo hiyo baada ya matukio ya Arusha, Sumbawanga,Moshi na Mwanza na sehemu nyingine ambazo sijazitaja ambako serikali ya CCM iliamrisha vibaraka wao (polisi) kufanya vitendo kama vivyo...
Kazi ipo na sio ndogo wa CCM...bahati nzuri wao pia washakiri kuwa hali ni ngumu kurudisha jimbo, ni afadhali waanze kuona picha halisi ya uchaguzi wa 2015..!
Kwa kweli ni jambo la msingi kuhuzunika na wenzetu ambao msiba huu umewagusa moja kwa moja kwa kupoteza ndugu wa damu au wa karibu sana. Natoa rambirambi zangu katika hilo.
Lakini swala la kuhairisha shughuli zingine kwa tukio hilo tu inabidi litazamwe kwa jicho la tatu kuliko kulijadili kwa...
AKIDI: idadi ya watu inayoridhisha kuchukua maamuzi fulani juu ya jambo fulani.
MANIFESTO: Azimio la chama kuelezea msimamo wa chama kuhusu tukio au wazo fulani kulingana na sera au mpango wa chama.
BARAKALA: Mtu anayejipendekeza kwa watu wenye mamlaka ili apate cheo au mamlaka sehemu fulani.
Ombwe ni utupu wa kutokuwa na kitu kwa kipindi fulani, yawezekana mawazo, vitu au hali fulani. kwa mfano kwa sasa Tanzania ipo katika ombwe la maamuzi ya busara ndio maana inashindwa kuamua mambo yake muhimu mpaka yaamuliwe na nchi zingine...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.