wewe ni mkristu wa dhehebu gani?koz yako mengi.fafanua ili ueleweke vizuri.pia ungetaja rafly ni msichana wa aina gani unahitaji mkuu il waweze kuona kama wanafit vigezo vyako mkuu
Mi napendekeza tu kuwa watu wawe wavumilivu kwani wake au waume zao hawakuchaguliwa na mtu ilikua hiari yao wenyewe.pia tuwe na upendo kwa wake na waume zetu bila kusahau hofu ya mungu kwani ndo inayotuepusha na mambo mengi mabaya
Habari za leo wana jf wenzangu. Kwa mtazamo wangu sikuhiz kumekua na matatizo mengi katika ndoa ambayo hupelekea ndoa nyingi kuvunjika au hata uchumba mwingi kuishia hewani hewani.je tatizo ni nini? Nahtaji busara zenu hapa jamvini ili niweze fahamu chanzo hasa ni nini kwasababu tatizo hili...
HAYA JAMANI TUSHINDWE WENYEWE KUPUNGUZA UZITO ILI UENDANE NA KIMO/UREFU NA HATIMAYE
BMI ZETU YAANI BODY MAX INDEX YETU IWE VIZURI
kupunguza unene ni lazima ujinyime kula ili uingize kalori kidogo lakini ufanye sana kazi au mazoezi ili utoe kalori nyingi mwilini. Baadhi ya watu...
KULIKUA NA WANANDOA YANI MKE NA MME.SASA MWANAMME AKAWA NASHAISHANAA AU NAWEZA SEMA KUIKODOLEA MACHO MARRIEGE CERTITICET(CHETI CHA NDOA) then mwanamke akasema."mumu wangu,kulikoni..mbona unakodolea macho hichocheti cha ndoa .kinatatizo? mwanaume akajibu,hapana mke wangu nlikua nachunguza...
za leo wanajf. mi napenda kujua kidogo kuhusiana na social life ya wanawake na wanaume wa kisukuma na wanyamwezi.kwa yeyote mwenye details karibu kuchangia.
mimi ni msichana nina umri wa miaka 26.lakini nimepata mchumba ambaye kanizidi miaka 13.kusema kweli ninampenda sana.naombeni ushauri wenu.je ananifaa ?au ni mkubwa sana kwangu?.nishaurini mwenzenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.