Hivi, huu upuuzi wa vijana kupost uongo humu JF, Utaisha lini? Mimi leo nilikuwa Arusha. Mwigulu amepiga mkutano fresh mwanzo mpaka mwisho na hakuzomewa. Hii faraja mnayotafuta mitandaoni, maradhi yatakuja waumbua kifo chenu kikifika. Shame on you.
leo nataka tukumbushana wana JF. Hivi mnakumbukua chadema waliamua kuondoka bungeni na kumuacha mhe. Rais akilihutubia bunge? Wakadai hawamtambui!! Siku chache baadae wakarudi bungeni kuendelea kujadili hotuba ya rais. Majuzi walitoka nje ya bunge kususia muswada wa katiba. Siku chache baadae...
serikali bado haijafilisika! Ukisema imefilisika unakosea. Assets za serikali zina offset liabilities zake. Isitoshe, serikali inauwezo wa kutumia njia nyingi tu ili kupata fedha. Kuchelewa mishahara, kupunguza mishahara, kushuka kwa thamani ya shilingi, ni mambo ya kimkakati yamakusudi ku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.