Habari ndugu zangu, kwa anayesoma mchepuo wa HGL anaweza akasomea fani gani chuo kikuu ikiwa matarajio yake ya kwanza ni kupata ajira? (Fani ambayo ajira zake si ngumu sana kupata)
Pia anaweza akasomea ualimu akawa mwalimu wa Geography+Language?(Kwa kuwa tunaona sasa waalimu wa Arts wengi...
Habari wanaJF!
Hivi tuna sheria yoyote inayohusu mizigo ya abiria wakati anasfiri kwa basi? Maana kuna Ndugu yangu anasifi toka Arusha kuja Serengeti kwa basi, sasa amebeba mzigo kidogo vyakula amenunua sokoni ambayo havifiki 20kg na wamemkomalia alipie nauli 40,000/- na ukizingatia 40,000/- ni...
Juzi tu zilitolewa nafasi za askari zaidi ya 100, sifa moja wapo ilikuwa ni form four mwenye mafunzo ya JKT. Kwa hiyo askari toka JKT wataweza kuajiriwa kama kawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.