Wadau Kikao kimecotton fire Chenge amemuingiza mjini Mwenyekiti kumbe ilitakiwa kabla hatujaanza kikao hiki ilitakiwa awe amejiuzulu na alikubali hivyo mbele ya Kikao cha maadili Lowassa ndo alikacha kabisa,Mwenyekiti kaumbuka ndani ya Kikao Wajumbe wamechachamaa Mkama toka alipoenda uani saa...
Mkuu ndo kwanza hatujaanza hata agenda moja,wajumbe wote hatujui agenda ni zipi wanaojua ni mwenyekiti na katibu pekee lakini kikubwa wajumbe wote tunataka kufahamu sababu inayofanya Sungura wetu asikue kwa miaka 50 sasa,chanzo nini
(1)Asili yake
(2)Wafugaji wameshindwa kumtunza
Tutaendelea...
Si kweli Simbachawene anamdharirisha Rais, Isipokuwa Rais Anajidhalilisha mwenyewe kama mnabisha naiomba Serikali impangie Rais wetu Ziara katika mikoa ya Kilimanjaro,Mbeya, Iringa, Mwanza,Arusha,Manyara na Morogoro na Afanye Mikutano ya Hadhara wakati Shule zote za Msingi na Sekondari zikiwa...
Nape ushauri wangu wa bure tu hebu achana nasiasa za kihuni hizo wewe bado mtoto sana, hivi unashindwa kufikiria wazee wazima kama msekwa wametulia tu,hao jamaa unaowasema hivyo wanaijua serikali mwanzo mwisho J.K mwenyewe ana wajua hao bila wao Urais angeusikia
Niwape wadau wa JF kwa kazi nzuri mnayoielimisha jamii kupitia mtandao huu, salute kwenu.
Nimekuwa nikifuatilia mwenendo wa CCM toka wameanzisha operesheni hii vua gamba, ukiafuatilia kwa makini kabisa(jaribu kufikiri angalau kwa dk 5) ndugu zanguni, unajiuliza hivi gamba ni lipi ndani ya CCM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.