Daaa! Kama loans wameamua kurudia tena kutoa mkopo kwa wenye 1&2 itakuwa fresh maana watu wamekata tamaa yakuendelea vyuo kutokana hali za kimaisha za watu,ka vp wafanye kweli tena haraka mno.
Kigezo walichotumia bodi cha kuangalia shule aliyotoka mtu ni nzuri kwa sababu mtu mwingine toka primary amesoma xul za gharama na zenye ubora ambazo ni zaidi ya 1mil na aliweza kuhumudu lkn cha kushangaza chuo anakuja kupata mkopo 100% but ambae amesoma kwa shida tena kwenye shule ambazo hakuna...
Ndugu zangu wana JF Makundi ya uefa ndiyo tayari yamepangwa cc mashabiki wote wa timu zetu tusibiri kuanza kuburudika na kuhuzunika kutokana na tmu yako jinsi itakavyocheza(vizuri au vibaya) ktk hii round ya kwanza.
Habar Wana JF,nilikuwa naomba kujua kama ukikuta hakuna program ukiingia sehem ya kuadd,remov,change ina maana ukishamaliza kuadd ndio kusema unaweza kuapply kupitia hapo au huwez kuapply kupitia hapo mpaka sehemu nyingine?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.