namtakia mafanikio mema kataka club yake mpya ya barcelona akaungane na wenzake the gunner imekuwa timu ya kukuza vipaji kama Ajax ya uholanz so the gunner ndo plan zetu acha madogo waondoke kama bodi wanapata faida awaoni fans wake poa iyo ndo gunner imekuwa kama siasa za bongo!
Tanzania sioni kama ni nchi ya kukaa kwa sasa baada ya bajet kupita wanatugeuka na kubandisha bei ya mafuta mie naona ufisadi ndo maana katibu mkuu wizara ya nishati Jairo anakuwa na kibuli cha kusema kuwa wabunge wanapga kelele tu i hope akuna serikal bali ni ufisadi unyanyasaji na urofa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.