Mara nyingi sarafu huwa zinaonekana hazina thamani katika jamii!! si muda tutashuhudia sarafu ya buku. Eti wanasingiza zipo kwenye mzunguko mkubwa, zinachakaaa mapema, sio kweli hili!!
Walivyoandika wapo sawa kabisa, maana ndio kesi iliyomfikisha mahakamani. Hayo ya kuwa hakuua yatakuja baadaye, kila upande utakapo toa utetezi wake. Kwa sasa wala usilalamike wanavyoandika!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.