Nimejaribu kuweka USB kama chaguo la kwanza but hai no respond but nimecopy tuu hiyo os kwenye flash, kwakua nimejaribu kutumia Windows 7 USB/DVD Download Tool kila nilchagua source file location kwa ku browse lililefile la window 7 kwakua nililonalo ni os na sio iso (image) hairecognize. ila...
heshima mbele wakuu.
nilikua najaribu ku restore window iliyokuwepo mwanzoni kwenye DELL D270 kwa kutumia Acer eRecovery Management but restore system kila ikifika kwenye 99% ina stuck kwa mda wa masaa karibu 6 nikajaribu kuizima lakini kila nikiwasha ina niletea tena pop ya hiyo acer erecovery...
dah! Inackitisha sana, yaani TBC walikuwa wanaonesha muziki? Habari zenyewe nlizipata Aljazeera na PressTV. Badala tv ya taifa itumie pesa za walipa kodi kuprovide habari wanafanya upuuzi tu. Yaani nlikasirika kupita kiac.
<br />
<br />
kwa kweli sjui ila wadau wanasema we SHUKURU KAWA MBWA kwa maana angekuwa simba sjui ka pangetosha kwa wasomi wa tz...
Ila napita tu hapa nipo hapo down jukwaa la technology
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.