Ndg uliyeweza kufanya upendo wa kufanya marekebisho kwenye kichwa cha habari nakushukuru sana. Nimebeba dhamana kama mwenyeji kwenye tangazo hili, mwenye kampuni ni ndg yangu, document zote ziko sawa, kampuni si ya mkononi, ina ofisi tena kwenye jengo linalojulikana. Namba hii 0754750006...
Kama ambavyo nimeandika hapo juu, nilipata Neema ya kufungua kampuni ambayo imepata usajili mwaka huu, ina vibali vyote.
Nahitaji mtu aliye tayali ili kufanya kazi pamoja. Kampuni ni mpya na ina ofisi kati ya majengo makubwa mjini kati Dar es salaam. Taarifa nyingine zaidi kwa aliye tayali...
Leo karibu jiji zima la Dar hakuna magari ya Uda karibu njia zote ambazo zimekuwa zikitumiwa na magari hayo.
Tetesi zilizopo ni kwamba, mmiliki amepewa muda ajitokeze.
Kwa anaye jua taarifa juu ya hili atujuze. Magari haya yamekuwa msaada hususani kivukoni na mnazi mmoja ambako magari...
Nimeshuka hivi punde uwanja wa Mwalimu Nyerere Dar es salaam. Nashangaa kila ninakopita naona hekaheka za usafi, nikamuuliza mwenzangu aliyekuja kunipokea, je! Obama anakuja tena? Nakumbuka Obama ni rais pekee aliyepewa heshima ya kusafishiwa mazingira.
Akasema hapana hili ni agizo la rais...
Ndg zangu kwa wale tunao amini katika Mungu, kutokana na kautafiti niliko fanya nimebaini katika matumizi ya fedha fungu linalotumika kwa njia za shetani ni kubwa kuliko fungu linalotumika kwa njia za Mungu. Ebu tutafakari hili. Je! ni kweli kautafiti haka?
Ndg zangu kuelekea uchaguzi nimekuwa nikijiuliza swali hili. Tunafahamu vyema kuwa mataifa haya mawili ni washirika wa kuu kwenye maendeleo ya taifa letu.
Sipendi kuamini kuwa hawa ndg ni watenda mema na kuondoka zao, kwamba si wa kungoja shukrani. Kama ndivyo bado kwa upendo wao kwetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.