tecno iko vizuri sana hasa zenye 4.2.2 android version or jelly bean...inakaa na charge muda pamoja na kuwa na apps nyingi zinazoRun online.
pia kama ni standby inakaa na charge muda mrefu sana kitu ambacho ni uongo kwa simu aina ya SUMSUNG, LG, Ambazo nilishawahi kutumia ambazo zinaheat vibaya...
Kweli dada nafuu na Popo anaetambua mapito yake kwa sauti zake...
Wewe ni zaidi,kuona huoni kutumia akili zako kutambua kilicho mbele yako huwezi! Angalia ccm walivyobanwa na cdm alafu utafakari kuliko kujipa matumaini ambayo mwisho wake utakimbia humu mwenyewe. Soma alama za nyakati
<br />
<br />
Sio jambo la kuuliza hili mkuu,unauelewa utofauti uliopo ktk bunge. J makamba ni magamba mwenzao hivyo lazima wapewe nafasi hata kama hawana hoja ya msingi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.