Speculation is rife here in Dodoma about Mr Mbowe's notorious addiction to Marihuana. I think he needs to clear himself from all sorts of this scandals before making any attempt to uplift CHADEMA's reputation.
Hawa wenzetu naona wameshaanza kutofautiana, na hii ni dalili kuwa chama kina ufa mkubwa. Usije ukashangaa huyo diwani Geoffrey Kajigili akampinga Mbowe kufanya maandamano yao yasiyo na tija. Ha ha ha ha ha ha
Mhe. Sumaye nimejaribu kukupigia bila mafanikio. Nadhani katika harakati za kuimarisha chama chetu, tulipewa maelekezo ya kuacha kukurupuka na kutoa lawama nje ya vikao. Hii, bila shaka, inawapa nguvu hawa watu wa JF kuendeleza haka kamtandao kao na kukifanya chama kionekane kinadorora. Kama...
Ukigeuza neno JAMII FORUMS/ HOME OF GREAT THINKERS kwa mpangilio wa kuruka herufi moja kimahesabu utapata neno FREE MANSONS TAKE ON. Inawezekana hii ikawa sababu ya kubadilisha jina kutokaa Jambo Forums ili kuidrop herufi B?
Ndugu zangu, kidumu chama chetu! Nawapa pole kwa kazi ngumu, tunayoifanya bila kusinzia, kupeleka ujumbe kwa kueleza mazuri na mema ya Serikali yetu. Kazi hii haijawa na haitakuwa rahisi hata kidogo kwani wakati huohuo pia tunawajibika kuimarisha chama na kukipa nguvu zaidi. Ndiposa nawaandikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.