hapana ila mapenzi c ngono tuu bali hata kutunzana na kuthaminiana ni mapenza hivyo kukatika wakat wa majamboz si kitu pasipo na aman na upendo ndani yake
kwel jaman ruvuma ni umeme wa jenereta lakin mgao kila siku hlf uwekezaji nao unapungua kutokana na kutokuwepo kwa umeme mfano halisi ni tumbaku inalimwa ruvuma lakin kiwanda chake kipo morogoro halafu mbunge wao mheshimiwa nchimbi anahudhuria kila tamasha lenye asili ya starehe wakat watu wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.