TATIZO MODS WA INVISIBLE WAMEGOMA KUUNGANISHA HIZI THREADS MBILI
BORA ILE ILIOPO jf INTELLIGENCE IKAUNGANISHWA HAPA ILI KUPATA MTIRIRIKO
SIELEWI WHY WE NEED TO HAVE OVER 40 THREADS ZINAZOZUNGUMZIA SAME THING
Hapa nakuunga mkono
Ever thought kwa nini the most influential social media in Tanzania ina encourage huu upuuzi?
how about kuwa JF might be part of the system?
siamini kuwa mambo haya inabidi tusome magazeti ya nje ndio tuyajue
lakini bosi kabakiza 24 months...sasa kuna cha kudeliver?
kwa...
Hivi kuna sababu yoyote ile inayowafanya wa Tanzania wanaotoka maeneo ya Mbeya na Kilimanjaro kuwa na nyoyo za kuthubutu na kuweza kufanya na hasa kwenye medani ya siasa?
Wanasiasa wao hawana woga, nimejaribu kuwachukia lakini wapi I cant hate their hustle, ukienda Benki unawakuta, Ukienda...
Mimi nashauri wataalam wa kulamiza mogogoro kuwake up and smell the coffee.
Hawa BAKWATA inaonekana washakuwa marginalised na inaonekana hawana support ya jumuiya zinginze za waislam Tanzania.
Sasa ushauri wangu kwa viongozi wa serikali na usalama hususan watu wa TISS waanze behind the scenes...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.