Hizi feeder ni kila siku????
Tena mida ile ile saa mbili hadi saa nane au saba????
Na mmekata saa tatu hii nayo ni feeder?
Zamani mlikuwa na wimbo wa low voltage baada ya kuchuja mmekuja na feeder
Haya bana......
Yaani wanatunyanyasa kwa kweli
Imekuwa ni ratiba sasa kukata umeme na kuurudisha usiku wa manane
Hapa tunalipia wangekuwa wanatupa umeme bure si tungejuta sisi
Yaani wanatunyanyasa kwa kweli
Imekuwa ni ratiba sasa kukata umeme na kuurudisha usiku wa manane
Hapa tunalipia wangekuwa wanatupa umeme bure si tungejuta sisi
Habari.
Hivi tanesco hawamo.humu?
Wakatueleza kero ya kukatwa umeme kijichi???
Jamani saa mbili hadi saa saba au nane usiku???? Au kuna mgao?????
Maeneo gani hawakatikati nihamie maana inakera?????
Shkamoo tanesco aisee.....
Mlianza kukata na kurudisha baada ya sekunde kadhaa
Mkaja dakika kadhaa
Majuzi mkakata kama nusu saa au saa moja
Juzi usiku wa manane mkakata masaa kadhaa
Jana ndio funga kazi.....toka saa nne na nusu au tano kasorobo usiku mpaka sasa haujarudi
Huduma kwa wateja...
Yaani hawa tanesco sijui wanafikiri kwa kutumia nini....
Wamekata tena saa moja hii baada ya kurudisha mchana
Kwa hasira hizi wanazopandisha heri kupigia kura ukawa tu
Wanakera sana
huku kwetu tushazoea jumamosi lazima umeme ukatwe hadi saa moja....
na katikati yawiki lazima umeme ukatwe siku moja mchana kutwa.....
hapo bado zile zima kata zima kata....
Hivi tanesco wanadhani kijichi hawaishi binadamu????
Hii kata kata imezidi sasa....
Wanawasha umeme dakika 5 na kukata masaa manne maana yake nini?
Toka jana hakuna umeme muelewekeje???
Kwa nini msikate tu mwaka mzima ikaeleweka kuwa hamtoi huduma eneo hilo????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.