Katika pitapita zangu bimepata taarifa z kutosha kabisa kuwa vingunge hapo juu ni kitu kimoja na mkakati endelevu unasukwa ili kurahisisha kumkabidhi Mh.Lowasa nchi mapema 2015,Mbowe na Lowasa na Kikwete lao moja since 2005 kwani taarifa za zinadai kuwa mh.Mbowe alikubali akitoswa Jk aende...
makole,ur stupid,jambo usilolijia ni kama usiku wa giza,Kessy upo sahh woate wagombea ni ccm na kamwe hakuna kijana wa chadema mwenye jeuri ya kupita hapo,woooote ccm hapo.kila la heri udom.
hakuna mpuuzi jinga kubwa kama MBOPO humu ndani,Lowasa mzima kabisa humu ndani alafu unazisha upuuzi wako eti Mgonjwa Acha ujinga Mods ni kipindi cha kuwapiga ban apuuzi ka hawa,nonsence,Long Live Edo.
siriaz Kikwete ni Rais Makini sana na anajua atendacho siku zote huwezi Kumshinikiza Rais atende ukitakacho ww be sure kuwa ni Kiongozi a Nchi amechaguliwa na Atanzania zaidi ya milioni 8,
nilisha wahi sema Vimon mwongo,pls members understand me,hana jipya hupenda kujikweza tuu ili aonekane ka Nape Nnauye kumbe wote ni vurugu tupu,pls dare not kumsikiliza jaman anapotosha uma Vimon hana lolote kabisa,
mzalendo epuka kuropoka,uajua maana ya fisadi papa,think twice,u are provokng for whom benefit????umetumwa,Nyau wee,ref.Misri,Libya was it an easly Taskieee??with absence of NATO milion kuld die yet wangekuwa on power,do u kow relationship kati ya TZ na USA??Europian Union?Far East?acha upororo wewe
siumeona Vimon katoweka?analea ubabaishaji tuu wajameni,i dare to say Vimon ni mpayukaji bana,hana jipya,madokta wote are happy now system in Action,na kama mtamwona Vimon tena,
hakuna kinachoendelea hapa,wote wamekubali kum'uunga mkono JK cdm haina lao hapa m'a DK wote wapo m,akinui na ni ccm damu,vimon anatoa taarifa za uongo hakuna cha wimo wala nini,wanaipongeza serikali kwa kwa wa chop out GS B.Nyoni,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.