Kuhusu kujaza fomu za mikopo ya elimu ya juu mwaka huu inatakiwa kila mwombaji kuwa na kitambulisho cha urai au pass ya kusafiria au kitambulisho cha kupigia kura. Lakini wengi wao hawana vitambulisho hivyo na kwa sasa ni vigumu kuvipata.
Je, wafanyeje? au "National ID card" ni sawa na cheti...
Waalimu hamjawahi kujitambua na kutumia wingi wenu kuleta mabadiliko katika nchi hii. Mmekuwa mkitumika kuiba kura makabaki mnachekacheka tu. Mlidhani wakishaiba kura si lazima waibe na hela yenu?
Shame on you teachers maana mpaka leo kuna mwalimu anashabikia magamba, sijui ualimu hamkuupata kwa...
Pinda hafai hafai kabisa kuwa rais wa nchi hii. Ni mpole mno na akibanwa badala ajibu hoja analialia tu kama....
Pili juzijuzi kwenye kikao cha nec kuna uzi humu unasema aligawa shs 300,000,000 za escrow. Huyu atafaaje kwa urais. Kumpa urais Pinda ni bora kiti kibaki wazi, lakini najua kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.