kilimanjaro food take away pale korogwe ni weziii tu chakula 7,000/- hakina radhaa na hakuna sehemu ya karibu kununua
ni kama unyang'anyi tu fedha za abiria
Malcom Little alikuwa ni mkristo, na alipobadili dini kuwa Islam, ndipo alipobadili jina na kuwa Malcom X.
Si sawa kuwa alilikataa jina na Little kwa maana kuwa ni la kitumwa.
Hata Cassius Clay alipobadili dini na kuwa muislam, awali alijulikana kama Cassius X, kabla kujulikana baadae kama...
Anajitahidi kufanya dunia iwaze tena!
Anaongea ukweli uliomchungu sana, na ambao watu hawapendi kuuongea wanabaki nao moyoni, yeye kaamua kuusema, ukweli.
RIP Mtikila.
ingekuwa mko kijijini na ni zamani hili jambo linawezekana na linaongelewa na wazee wa kimila na unamsaidia kaka yako, lakini kwa maisha ya sasa na tena mjini sina uhakika.
pia inategemea asili yenu, namaanisha kabila, kuna makabila yanapractise hata sasa
Usilalamike mwannchi
Mtoa na mpokea RUSHWA wote wamefanya kosa
Na wewe pia umefanya kosa, badala ya kuwakamata wakati wanapeana rushwa unakimbilia JF
Siku nyingi piga kelele hapo hapokisa uje JF
Duuuh!
Yaani badala ya kuongelea mada, unaongelea mambo binafsi ambayo hayahusiania mustakabali wa fedha za wa Tanzania!
Sidhani kama una msaada kwa Tanzania na watu wake maskini wanaonyonywa.
Achana na mambo yasiyokuhusu, zungumzia CHAMA ulichokuwamo jinsi kinavyoendesha mambo yake, kwa kukosoa au kusifia, lakini mambo ya wengine hayatakusaidia kujiimarisha zaidi unajidhalisha tu, we mtoa mada.
Pangua hoja za ESCROW, ufisadi CCM na serikali yake, EPA, na kulazimisha rasimu ya Katiba...
Nasikitika sana kututukana Wanyakyusa!
Lakini naona kama una tatizo na hili kabila letu, na kuwa kuna uwezekano umetendwa na mmoja wetu basi umeamua kutumalizia wote na hasira zako, pole sana.
Nahisi hata dhamira inakusuta, maana unajisahau kuwa Wanyakyusa nao ni binadam wana tabia zao binafsi...
Katika post yako umeuliza nanukuu "tafuta popote pale huwezi investment ukaambiwa ni yake,sasa yeye aliwekeza wapi??" nimukujibu nilivyosikia na kama ulivyouliza ............. sasa hapa unauliza swali lingine kama nilimuona akienda kwake?
Hebu basi niambie unachokitaka nini? Kumtete, kukanusha...
Kiboko msheli lilikuwa kundi la Magomeni enzi hizo, huyu Cool 9 alikuwa Manzese
Pia kulikuwa na gangwe mmoja akijulikana kama KALA MZUVENDI maeneo ya Magomeni makanya, kondoa, kagera nk.
Sio BUSARA hata kidogo kukashfu au kutukana IMANI ya mtu mwingine,
Kama unahitaji mtu afuate IMAN yako basi sema nae kwa ukarimu, ukimuelewesha na mwishi ataelewa tu na kuamua kukufuata ama kuendelea na ile yake ya zamani.
Niliwahi kusikia kuwa huyu Mama Clinton, kwa sasa hataki kuendelea na siasa, hivyo baada ya uchaguzi ataachia nafasi yake kwa mtu mwingine.
Tukumbuke kuwa Al Gore ameanza kurudi kimya kimya, anaweza akasimama tena 2016
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.