Hujajibu swali! Sijauliza kuhusu uwepo wa Mungu hapa, nakuuliza ikiwa wewe unadai unaona, na unafahamu rangi ya Blue, Tuambie hiyo rangi ikoje ili tuamini kama kweli unaiona.
Huwezi Kutuambia Mungu unamuona ikiwa hata rangi inayodai unaiona huwezi kuielezea tukakuelewa.
Isije kuwa na wewe...
@Rabbon: Ikiwa wewe unaamini sisi tusioamini hayo mambo yako ni Vipofu. na wewe unaona. Hebu Tuambie Rangi ya Blue Ikoje, Ili tuamini kama kweli unaiona.
ASANTENI AMESHAPATIKANA
Habari tunatafuta mtu mwenye uwezo wa kusoma vizuri kingereza kukielewa. Awe na umri katika ya miaka 18 hadi 25. awe maeneo ya dar es salam. kwa kuanza mshahqra ni Laki Mbili na mshahara utaongezeka kutokana na ufanisi wake kazini.
Hoja hapa ni nini ikiwa kiswahili kina mchanganyiko wa Kiarabu? Neno Ustaarab lingekuwa ni neno la kingereza nadhani ndiyo ingekuwa hoja ya kuleta changamoto. ni sawa na kushangaa watu ndani ya Dunia.
Mambo mengine kwa Mtu mzima kama wewe hata hutakiwi kutetea kwa kulinda misimamo yako ya kidini. “Wrong is Wrong” Popote Unapofanyika ujinga kwa hali yoyote unatakiwa kukemewa bila kujali lolote. Ili limefanywa na muhindi mchina mwarabu mzungu au vyovyote vile. Tuache kuvaa miwani ya mbao ni...
Haya ni majibu yanayofanana na kweli ila ni uongo. Maneno ya aina hii huwa ni silaha ya tatu kwa mwisho kwa watu ambao wanataka kujua ukweli. Bada ya maneno haya huja vitisho, baada ya hapa huja kifo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.