hilo zoezi walilofanya halikua jema na hata nyie mnaochangia suala la udini halikutakiwa kuhusishwa hapa. Tusishabikie udini jamani,hatutaweza kuhimili madhara yake siku zijazo.
wakati Wema anachezwa na wanaume tuliona poa vp kwa Diamond? Endelea kaka,play them all na kila atakayejipitisha mbele yako. You got money,what else do you need? Av funny bro.
wanaosema bunge la sasa hivi limekosa heshima lazima wana maslahi binafsi na CCM na kwa hali hiyo wanataka kuwapumbaza watanzania ili tuichukie CHADEMA.Nasi kwa moyo mmoja twasema,hatutarudi nyuma ng'oo.
lusinde hana proper thoughts just like Simbachawene alietoka kuongea sasa hivi. Lakini wajue kuwa wa tanzania tumeamka na tuko nyuma ya CHADEMA kwa asilimia mia moja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.