Search results

  1. M

    Kwanini watanzania hatuna uchungu na nchi yetu?

    swali lako c geni kichwani mwangu,labda niwafahamishe wana jf kwamba mbali na malaria,ukimwi na umaskini ugonjwa mwingine unaokula taifa ni KUKOSA UZALENDO.wadau wa elimu lazma tujenge mbinu za kukuza uzalendo ndani ya vichwa vvy watoto wetu ili wawe viongozi bora kesho.PAMOJA TUNAWEZA
  2. M

    Naweza kuongeza uwezo wa kufikiri?

    Iko hivi, binadamu anauwezo wa kuongeza kufikiri kwa mfano uwezo wa mtu anayesoma vitabu vingi na asiyesoma ni tofauti,jifunze bila kikomo itapanua uwezo wa kufikiri pia jitahidi kutengeneza hoja za kwako mwenyewe wakati wa majadiliano na jifunze kuzitetea.
  3. M

    Hebu hili tulitafakari pamoja wadau

    utafakari na nani wewe,try to be conscious we bitoz usilete mada za facebook
  4. M

    Mgao wa umeme: WaTanzania tuamke, tuukatae

    hongera sana kaka kwa kuibua suala la msingi,imefika wakati jamii kuingia barabarani kwa masuala yanayotuathiri wote, wanachuo,walimu,wafanyabiashara,wakulima na walipa kodi wote kuandamana kutokomeza tatizo hili.kama senegal!!! pamoja tunaweza
  5. M

    JWTZ, JKT je hii haiwezekani?

    Da! umenigusa mtazamaji,kinachotakiwa kufanywa na majeshi ya nchi maskini kama sisi ni kushiriki katika shughuli zote za kiuchumi na kijamii maana hatuna vita sisi.tunahitaji mchango chanya kutoka kwa majeshi yetu na wataalam wa jeshini watumike kuleta maendeleo
  6. M

    Nini ni vigezo vya kutambua umaskini

    Habari za fikra sahihi mada yangu inalenga kufahamu vigezo vinavyotumika kupima umaskini,ila nitahadharishe kwamba, katika kuchangia tusiegemee vigezo vya uchumi na vile ulivyofundishwa darasani tu, tujaribu kushirikisha fikra sahihi juu ya hii mada. KARIBUNI....
Back
Top Bottom