Fundi huyu huyu pia ndio amesema bei inategemea na mwenye nyumba ana gari aina gari.
Kwakweli hili sikutegemea kutoka kwa mtu anayesema anapata wateja humu,
Muonekano kumbe ndio unapanga bei , alafu utakuta same person analalamika sehemu zingine kuwa watanzania wezi
Nimesoma contents, jamaa ambaye sio fundi katoa taarifa za kueleweka, fundi kaombwa atoe aina ya matumizi ya nyumba inayotumia 10mm wire anadai hana kibali cha kutoa elimu, kama huna kibali kwanini pages za mwanzo umetoa elimu
Naomba kuuliza kama kuna aliyefanya kazi na jamaa aje atupe...
Gari kama ina turbo,ni inavujisha upepo hiyo,kagua exhaust au pipe ya boost
Gari ina km ngapi?
Usikute ulibadili oil ya gearbox wewe ukaweka za bongo na za specifications tofauti,
Angalia kuvujisha upepo au oil kama uli change
Acheni siasa kwenye uchumi, nani kasema bidhaa ikiuzwa nje nchi inakosa mapato, kila nchi ya dunia hii inajaribu kubalance books of payment, huwezi kuagiza bidhaa nje kama huuzi nje, na kumbuka kila kitu tunaagiza kwa asilimia kubwa.
Nimeongelea huo upotoshaji mengine sihusiki nayo na sina comment
Ni feki, original manufacturer hawezi kukosea maandishi ya box kizembe hivyo, ukiwa unakagua bidhaa kitu cha muhimu ni uandishi, ukiona makosa jua bidhaa feki
Subaru zenye turbo late ya gasket failure ni ndogo,non turbo zilikuwa na tatizo,ila fix ni gharama ya kawaida tu,unajua boxer engine zina gerate heat mno,ni gari nzuri kwa price yake,engine strong mno,ni ngumu sana kufa engine hizi gari,ila ulaji wa mafuta sio mzuri,anayekuambia anapata 11kml...
Hapa angalau data zinaendana na ukweli,kwa mjini hasa dsm huwa ni 6kml kwa gari za cc3000,na ukikanyaga vibaya inarud 5kml ambayo ni kawaida,hata rav4 mjini hapa naona ni 6kml,sijuh tatizo nn
Labda highway, cc4500 huwezi kupata 8kml,gari bado mpya umenunua 0km?nadhan humu kuna tatizo la watu kutojua kupima ulaji wa mafuta,kila mtu ana data za kufirika,gari ya cc2000 used japan na tanzania,ulaji wake hauwezi kuwa mzuri kihivyo
Mkuu,hata impreza ya cc1490 haifiki 9kml,uliza hata mtu wa ist anatumiaje mafuta,kwanza wengi hatuweki records za utumiani msfuta,alafu tunatoa data za uongo
Tuelewane hapa hapa ndio nilete simu,nina note 8,kioo cha juu tu ndio kina kreki nataka kubadilisha,nipe gharama,pia nina sony xperia xa ultra, kioo kilikufa,cost zikoje kwa kioo original?
Pascal,kwa level yako sikutegemea ulichukulie hili kisiasa,polisi wamesema taarifa wanazo na wamesha suppress, hawa jamaa mbona huwa wanatoa taarifa mara nyingi,hii si mara ya kwanza kwao,tuache serikali ifanye kazi,wanajua cha kufanya,sisi tuache kusambaza uoga kwa watu,lakini inawezekana hizi...
Wewe umeongelea dini na si principal, naona unajimix tu,upendo ndio principal kwakuwa hauna dini,ukitaja messiah tayari unetaja dini,kukiri tu kwa kinywa hakukupeleki mbinguni,soma biblia vzuri,imani bila matendo ni imani mfu
Mkuu,300m usd is nothing tuki compare na madhara ya kuchafuliwa kiasi kile,na huu mchezo nahisi unachezwa na barrick,nadhani barrick wanataka kutoka kwenye biashara ya madini Tanzania kijanja na tusipokuwa makini hiyo kampuni mpya itaachwa nyeupe na madeni juu,acacia na barrick wanatuchezea...
Sometimes ni kweli,ukifanya modification tu lazma uwe na undugu na garage,watu wanadanganywa,kama wewe sio mtu wa racing huna sababu ya kugusa ecu kabisa
Niliwahi kuwa na b4,forester inakula kidogo zaidi,nadhani uzito unachangia au chasis,kwanza b4 uliyonayo ni ipi?subaru za 2006 kurudi chini zinakula sana wese, naona from 2008 nyingi zinakula kawaida ila performance sio kubwa pia labda uchangue special editions
Huna hii gari mkuu,hizi gari wastani ni 5km per litre,hata ufanyeje,tatizo 2litre inawazuga wengi,ni kama rotary engine ya 1.3cc,boxer engine zinakula sana wese,hapa utaambiwa 7kml to 10kml,7kml unaipata kwenye non turbo tena na yenyewe uendeshe taratibu,ukifanya fuel management mods unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.