naandika haya kyk rangi hii si kwa kupenda bali nashinkizwa na hali ngumu ya maisha ktk nchi hii, juzi ktk kusoma magazeti ili nipate habari nili bahatika kupitia kibonzo wakati si kawaida yangu na haya ndiyo aliyo andika mtunzi wa kibonzo hicho ( mwalimu ame chola bendera ya tanzania, ubaoni...
<span style="color:#00ff00;"></span><strong><span style="color: rgb(0, 255, 0);">SINA HAKIKA KAMA UME TUMIA UWEZO WAKO WA KUFIKIRI AU NI MAWAZO YA M2, IKIWA NI AKIRI YAKO IME KUTUMA HUKO BASI HUNA BUDI KUFUATA MAANA HATA YESU ALISEMA (VYA KAISALI MPENI KAISALI, NA VILIVYO VYAKE MUNGU MPENI...
sina hakika kama ume tumia uwezo wako wa kufikiri au ni mawazo ya m2, ikiwa ni akiri yako ime kutuma huko basi huna budi kufuata maana hata yesu alisema (vya kaisali mpeni kaisali, na vilivyo vyake mungu mpeni mungu_
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.