BIG UP KING COBRA!!!! Hats off to you! Kama Slaa ana masikio asikie maneno haya! Kupanda mnazi ni kazi kubwa na huchukua muda mrefu, lakini kushuka ni dakika moja. Vivyo hivyo, kujenga heshima katika jamii ni kazi ngumu inayochukua muda mrefu, lakini heshima hiyo inaweza kuporomoka kwa dakika...
gumegume, what a great summary of that powerful teaching of the Word! Siku ya Pasaka, nilikuweko in person katika Ibada hiyo, ulivyoandika ndivyo hasa Kakobe alivyozungumza.
Kanisa la Mitume hawakuwa wakiomba kwa kutumia rozari, na vilevile majengo yao ya Ibada yalikuwa hayana sanamu kabisa. Mitume walikemea kwa nguvu zote unajisi wa sanamu (MATENDO 15:20; 1YOHANA 5:21).
Kweli kabisa, mimi ni mshirika wa Kanisa la FGBF, na leo nilikuwepo katika ibada Mwenge, huu ni uongo wa kutisha. Askofu Mkuu Zachary Kakobe amezungumza kwamba pamoja na wajibu wetu kuhubiri pale tulipo katika eneo la nyumbani, hatuna budi kufuata kielelezo cha Yesu Kristo cha kuhubiri pia...
Kuinyima coverage!!!!!!?????? Hawa jamaa bado wanaishi enzi za ujima! Nyakati za kizazi hiki cha dot com, hakuna unachoweza kukificha kisiwafikie wananchi!
Haya ni maneno ya mfa maji ambaye haachi kutapatapa. Hii ni karibu siku ya nne sasa, tangu uzi huu umewekwa hapa, na hakuna hata mtu mmoja duniani ambaye ameweka hapa, vielelezo vya majumba na mali za kifahari za Askofu Kakobe. Wengi wameshituka na kujua walidanganywa na redio mbao, wewe bado...
Mungu ana maarifa yote (AYUBU 37:16; ZABURI 147:4-5), hivyo Neno lake, lina mwongozo kwa kila jambo katika maisha ya wanadamu duniani (WAEBRANIA 4:12-13), ikiwa ni pamoja na Muungano na Katiba.
Zaidi ya saa 24 sasa zimepita tangu uzi huu uwekwe hapa, na hakuna hata mtu mmoja duniani aliyeweka hapa vielelezo vya majumba ya kifahari na maisha ya kifahari ya Askofu Kakobe. Zilizoko hapa tu muda wote ni blabla tu za "labda". Baadhi ya Watanzania, wanapenda kukaririshwa tu maneno ya mitaani...
Huduma za Kimataifa za Injili bado ni jambo geni sana katika nchi yetu ya Tanzania kwa sababu tuna Wahubiri wachache sana wa Kimataifa walio na neema ya kufanya Mikutano ya Injili ya malaki ya watu katika nchi nyingine duniani kama ilivyo kwa wahubiri wengine wa Kimataifa kwa mfano, Reinhard...
Ngonjera hizi zinazidi kukudhalilisha. Kinachotakiwa hapa ni ushahidi wa kujitajirisha uwekwe hapa, kinyume chake uongo wenu umetumbukizwa kuzimu leo!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.