Leo kumepoa kama msibani kwa Shoga!.
Tutaelewana tu kuwa hii kazi ya kumtajirisha bwana Patel sio ya kuitegemea!!
Usipokaa kitaalamu anakuacha maskini.
Haya mdeposit wakuu
Naming rights huku umatumbini no nadharia tu!!
Mbeya ikifanyika mbeya Derby mashabiki hawazidi 1000
Hadi hela irudi ni mwaka gani?
Hivi unajua gate collection ya baadhi ya mechi huko mkoani haizidi laki2?
Jana Yanga wamecheza hapo Chamazi na uwanja haujajaa.
Ukiacha mechi ya Simba na Yanga ,mechi gani nyingine itaingiza hao mashabiki 30K.
Hao wageni kutoka Nje huwa wanafuata mpira hapa Bongo?
Huko Zanzibar Kuna wageni wengi kuliko Chuga ,ushwawi kuona hata wageni 200 wakienda Amani Complex kuangalia mpira?
Gabon na Cameroon viwanja vyao vimebaki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.