Please naomba utueleze hiyo tracker itakuwa based kwenye principle gani
kama ni satelite based (GPS)lazima kuwe na monthly payment na hizo speed sensors zitakuwa zinatuma sms from which account? Plz be serious
Ni utara ibu wa rais kutumia viti vya ikulu hata mkapa and many presidents do tha same
kama obama atatembea na gari yake everywhere kiti ni minor thngs
just security isues
/
On addition u use tha same channel for tx na reception thats for radio comm
on mobile we have two chnl for tx and rx I don have Idea kama its usefull
Ukidanganya usiwe msahaulifu
kuna sehemu umesema SHANGAZI YANGU that means ni wewe
Ushauri waombe watu wazima esp wazee wakusaidie kuwa-convince itasaidia
Mbona naona ameanza kutumia falsafa za chama fulani cha upinzani na Mbuge wa eneo husika
ANGALIZO!
This can be a drama ya kupata attention kutoka kwa wananchi especially vijana
Tatizo kwenye chama cant be that serious
Am ready to be corrected
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.