Muheza (Tanga) Kinyanga'anyiro ni kati ya Mzee Adadi Rajabu kutoka CCM atakayeshindana na Bwana mdogo machachari Ernest Msingwa wa CHADEMA (UKAWA).Siasa za Upinzani hazina nguvu sana Muheza lakini ni vyema kuanza sasa,na uzuri ni kwamba wagombea wote wawili ni mara yao ya kwanza kuingia katika...
You said it all Mr. Samurai..... Kila la Heri Ben, ni wazi uwezo unao, Utumishi wako uliotukuka unajulikana kwa uwazi ndani ya Chama chako.Omba ridhaa ndani ya chama chako na pengine kwenye Jumuiya ya UKAWA. Jizatiti kwa kampeini,Ushindani ni mkubwa lakini ni wazi utashinda sote wapenda...
Manyerere wewe ni muandishi jaribu kufanya vizuri research yako kabla ya kuandika,sidhani kama maneno aliyoyasema Mzee Mkapa yalikuwa yanamlenga Mh.Nyalandu.Hapo alipofikia Nyalandu ni kwa ajili ya nguvu na Ushawishi wa Mzee Mkapa na Mama Anna Mkapa.Mh.Nyalandu ana mahusiano mazuri na ya karibu...
Sikutegemea Ngeleja anaweza kujitetea Kitoto namna hiyo! Wala siamini kama huo ni Utetezi wa Ngeleja,Kumekuwa na habari za kupikwa mno humu.Mtu mzima mwenye akili hawezi kujitetea kwa namna hiyo.Unatoa vithibitisho na sio kusema Mbona fulani nae kapewa!
Kila la Heri Kahangwa,Tumia njia sahihi za Chama kuomba ridhaa ya kusimamishwa kugombea Ubunge Karagwe.Tupo pamoja nihesabu kwenye orodha ya supporter wako na nipo tayari kutoa pesa kidogo kwa ajili ya kampeini yako.Demokrasia ya kweli inataka washiriki kama wewe,Tumia ushawishi wako kuwaomba...
Mnapenda sana Hadithi za Vijiweni.Huu uoga wenu wa Usalama wa Taifa unatoka wapi? Kila mtu siku hizi anakuja na mambo ya ajabu,baada ya kuangaliwa kama yeye watu wanajiuliza kama ni Usalama wa Taifa.Who is Usalama wa Taifa? Hakuna yeyote leo anayeweza kusimama na kujitapa kuwa yeye ni Usalama wa...
Vichwa vya viongozi wetu vina matatizo.Hili suala la Diaspora kupiga kura lisikubalike,hii ni mbinu nyingine ya kutaka kuiba kura.Hakuna mtu yeyote anayejua idadi kamili ya Watanzania waliopo Diaspora.Nchi nyingine zenye mifumo mizuri na ya kueleweka ya kidiplomasia kama...
Yericko,
Kuandika hivi ni kupotosha. Ukweli wa mambo ni kwamba CC ya CCM imemkubali kwa pamoja Mzee Shein kuchukua form tena kwa ajili ya kuomba ridhaa ya Wananchi kugombea Urais wa Zanzibar na Sio Tanzania kama mleta Mada anavyoandika.
Kwa mtazamo wangu nafikiri bado kitendo hicho ni...
Ndugu yangu Mleta mada angalia tena vyanzo vyako vya habari kuhusu Kifo cha Marehemu Sokoine,Hizi taarifa unaloleta humu zinasababisha usumbufu kwa baadhi ya ndugu na jamaa wa Marehemu na sisi wengine ambao tunawafahamu hao Wazee wote na utumishi wao Serikalini.Jioni ile ya Jumatano,April...
Mwalimu nimeisoma Post yako na majibu mengi ya hii Post.Ni kweli Maria amejitokeza kuwa Mtanzania anayetetea maslahi ya wengi bila Uoga wala kuegemea upande mmoja (Itikadi za vyama).Maria ni Mwanaharakati wa kutetea haki sawa kwa wote.Mimi binafsi nina Imani kubwa na huyu Dada kama ataingia...
Hapana Mumewe Marehemu Wilson Tibaijuka alikuwa Balozi Wa Tanzania wa mwisho katika Nchi ya Soviet Union kabla ya kuvunjika (Decemba/25/1991) katika Jamhuri nyingine 15 na kuitwa Russia.Balozi Tibaijuka alifariki mwanzoni mwa 2000.
Ni kweli Mama Assumpter Nshunju kipindi chake chote cha ujana alikuwa Muhudumu wa Ndege za serikali,na huko ndiko alikokutana na Mumewe Mr. Mshama ambaye kwa sasa ni Senior VIP bodyguard,siku za karibuni alikuwa Mlinzi na msaidizi wa aliyekuwa Waziri Mkuu, Mzee John Malecela. Mheshimiwa Mbunge...
Suala lile la Ugomvi wa Membe na Dr. Hassy Kitine kwangu Mimi naona bado Membe alikuwa yupo sahihi kuripoti matumizi mabaya ya $63,000 ambazo zilitolewa na Wizara ya Afya kwa ajili ya matibabu ya mke wa Dr. Kitine ( Mrs Saada Mkwawa Kitine).Pesa hizo zilitolewa kwa matumizi ya Matibabu wakati...
" Serikali wana mambo ya Ajabu.Suala hili la Uraia pacha halikwepeki,Ni suala la Wakati tu.Dunia imekuwa kijiji. Inapaswa Serikali waliangalie na kuliundia sheria ambazo zitalinda maslahi ya Nchi. Kumbukeni mwanzo wa Vyama vingi,Kila mtu alisema huo ni utamaduni wa kimagharibi na si rahisi...
Nimekuelewa Ndugu yangu,Lakini wasiwasi wako wa Usalama wa Nchi unaouzungumza hauniingii akilini.Nchi yetu haina threat yoyote kwa majirani wanaotuzunguka hata kwa Upande wa Mashariki wenye mpaka mkubwa wa bahari ya Hindi.Kimsingi matatizo yetu madogo na majirani zetu ni kwa sababu ya EGO tu,ni...
Ndugu Horseshoe Arch ni kweli unayoyasema.Bandiko la Ndg Kashishi limejaa mambo mengi ya maana ambayo inapaswa kuyajadili kwa kina kwa mustakhabali wa Taifa letu na si kutupa kashfa na kubezana kama ilivyo kawaida yetu kwa sasa.Ieleweke wazi kwamba Ndugu zetu waliopo Diaspora si kwamba ni...
Duuuh huku tulipofikia sasa sio Ustaarabu kabisa.Siku zote tumkumbuke Marehemu kwa yale mazuri yake,Haipaswi kumuhukumu kwa mabaya yake.pamoja na tofauti zetu alipokuwa Tume ya Uchaguzi lakini bado namchukulia Jaji Makame kama Kiongozi muadilifu katika nafasi zake zote alipokuwa Jaji.Ni mzalendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.