Wana jf wenzangu, sijui tunaelekea wapi na katika karne gani? ukiachilia mbali swala la wanafunzi wengi kutopata mkopo, uongozi wa chuo kikuu cha Dodoma ilitoa tangazo kwenye website yao www.udom.ac.tz kuwa mwisho wa kulipa gharama za accomodation pamoja na ada ni tarehe 30/09/2011, wameongeza...
maneno yenyewe ni pamoja na
1 circular motion
2 acceleration
3 x-rays
4 molar mass
5 proton
6 chlorophyll
7 oxygen
8 carbon dioxide
msaada pia kwa maneno mengine meeeeengi ambayo wewe unayafahamu kwa kutumia baobonya ya ngamizi yako ebu nijulishe!!!
if possible ngereja aachie ngazi na hii ni aib kwa CCM na huyu ni wazir wao ::
ili wananch 2elewe bila mjadala JAIRO ATOKE [NENO BAYA] hao. af 2jiulize kwan huyu ni nani ktk nch hii?????
ni dalili kuwa sasa ni mwishowa CCM na ni mwanzo wa utawala mpya [CHAGUA] 2015
pole sana! nakushauri ufanye utafiti wa kina juu ya hilo swala, na usipopata ukweli wa jambo ni heri kuachana naye sababu hata kama utataka kuishi naye kwa kupotezea maneno ya watu bado utajikuta unakuwa katika wakati mgumu maisha yako yate kwa hisia za kuw mchumba wako ni mchawi zitaendelea...
pig up UDSM! mgome tu maana wanafunzi wa vyo vikuu tz wamekuwa hawaheshimiki na viongozi wa serikali hii ya awamu ya 4, wameonekana ni watu wa kudanganywa kama watoto wadogo. U have a point guys
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.