Wananchi wa jimbo la Gairo mkoani Morogoro wamempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutekeleza ilani ya uchaguzi sambamba na ahadi zake alizotoa mwaka 2008 katika jimbo hilo, ikiwemo ya kuifanya Gairo kuwa wilaya inayojitegemea, ujenzi wa barabara, pamoja na visima vya maji vitakavyosaidia kuondoa...
Kwani Nape hujui mgogoro wa arusha ni huyo Chatanda alieyevuruga morogoro kwa ubabe wake mkampeleka arusha , kule kafika uababe hukohuko pale watu wanafedha zao, tatizo kubwa ni kila mmmoja kwenu CCM yuko karibu na mkubwa wa nchi, kule mvomero mbunge rafiki wa mkuu, DC kazaliwa ikulu shida ni...
Nape nyie wenyewe mnajali viongozi kwanza wananchi badae ndio maana hata pale morogoro viongozi wanapeana madaraka kienyeji kisa kiongozi kwanza wanachama badae, inamaana hujui kama wenyewe kwa wenyewe kule K, ndege wanatoana roho? hujui yule katibu Ali isaa amefukuzwa kwa nchimbi mmempeleka...
yaani hapo umenigusa hata mie maana huyo mtu anadharau sana anajiona yeye ndiye kuliko, na sasa anasahau hata alikotoka kwa maana ya kuwadharau wanafani wenzake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.