Search results

  1. P

    Msaada wa kisheria

    Je sheria za ajira kwa watumishi walioajiriwa serekalini kwa watumishi wanaojiendeleza kimasomo wakijilipia ada na mahitaji mengine je sheria inawapa ulinzii gani? na je kuna haki yoyote wanayostahili kupata kutoka kwa muajiri? naomba msaada na maelekezo
Back
Top Bottom