Search results

  1. B

    Nauliza ni kwanini mpaka leo vyuo vikuu Afrika Kusini hawasomi bure?

    Jamani lazima tufahamu kuwa hizo reference ziliitwa hivyo baada ya watu kuthubutu, tukiendelea kuishi kwa reference na copying system kamwe hatutaweza kuwa huru kifikra.
  2. B

    Bao la mkono tume ya uchaguzi nec yagoma kutoa nakala tete softcopykwa upinzan mnyika atoa siku tatu

    Kama Mnyika ni Mwanasiasa uchwara Lusinde atakuwa nani!?
  3. B

    Sitasoma tena gazeti la Mawio

    mbn sawa tu ila nadhani ungesubiri uone toleo lijalo litahusu nn na hata hivyo siasa its like any other game. relux
  4. B

    Sasa najiunga na ACT Tanzania

    Naona bado mnaishi kwenye fikra za CDM kwani ukamanda ndio asili yake nashauri mtafute jina lingine la hamasa waachieni CDM na jina lao
  5. B

    Mauaji ya kinyama yapelekea wananchi wenye hasira kuchoma nyumba na magari - Olasiti, Arusha

    Olasiti jamaa ni watemi sana na hapo wanaamini katika dawa zao
  6. B

    Pigo la tatu kwa Lowassa, bado la Mwisho mwezi Mei

    Napata uchungu na kinachoipata Tanzania
  7. B

    ShyRose Banji mitaani na bodaboda, ni mtu wa WATU?

    Sasa tumeukaribisha ujangili live
  8. B

    Jiji la Mbeya kama kijiji

    andreakalima, Kila mkoa ulipewa hadhi ya jiji kwa vigezo maalum, co majengo, huyo dereva taxi inaonyesha ulimwelekeza akupeleke hapo. Cku nyingine ukienda kwenye majiji jaribu kugoogle nice hotel kupunguza usumbufu. Ukija tena Mby next tym nijulishe nikutembeze maeneo kwa saa moja co Dar ambako...
  9. B

    Israel yamzawadia Mwalimu Mwakasege kwa huduma yake

    Kupitia yeye ulimwengu unaishi ukiwa na hofu ya Mungu. Hongera mwl Mwakasege na Mungu akubariki uendelee kuifanya kazi yake
  10. B

    Je, wajua kiatu chako chaweza kukuambia umri wako?

    Namba ya kiatu sawa but ya umri kidogo hapako sawa!
  11. B

    Hatimae Wananchi kuamua n muundo upi wa Muungano wanaoutaka.

    Tukijadili muundo wa serikali moja au tatu; tuwekane wazi kuwa Warioba hakufanya kitu kwani kwenye rasimu yake kasema 3 na ndo maoni ya wachangajiaji kwa nini hilo swala lisingerudi kwetu tukalipigia kura kama tunataka au la?
  12. B

    Kama unahitaji king'amuzi bora nunua hiki

    Mby vp vitafunction? Channel gn za mpira zinapatikana humo?
  13. B

    Ole Sendeka amsifia Tundu Lissu bungeni, amshauri rais Jk ampe uwaziri wa katiba na sheria!

    Hilo ni jembe tangia mwanzo, Sema time will tell ambapo kila mmoja atamkubali
  14. B

    Naomba Kutoa Hoja, Bunge la katiba livunjwe

    vp mch Mtikila kajitoa?
  15. B

    Nimetapeliwa Sinza

    Mkuu ulipoenda kuangalia hiyo nyumba na Fred kulikuwa na asset ndani? Coz muda mwingine ukiona vitu hivyo vinasidia kuhoji zaidi
  16. B

    Hizi ndoto za kikabwela za mchana embu oneni kabwela mwenzenu nilichoota

    Huwezi jua labda Baba mwenye nyumba alikuwa anaota anakudai, so mmegongana ndotoni
Back
Top Bottom