mnamaanisha mafuta au ufuta?msifanye mchezo na mambo ya kitaalam-----kila kitu mnakitazama kwa macho ya kisiasa. Get the guys on board give them money and let them show you where oil is....siyo hizo braaa....braaaa
I don't agree with you, kuitana pamoja na michakato ndo imetufikisha tulipo, a new way of leadership is mandatory.
huyu dada anakataa mshahara huo yet anaendelea kufanya kazi....inamaana hana mkataba. elements za mkataba ni tatu
1. offer
2. acceptace
3. consideration
kama kimoja kikosa hakuna...
furaha yangu ni kuona lugha za michakato, nk zinatoweka......kama tukianza kuzungumza...nimetekeleza kwa asilimia flani nategemea kukamilisha asilimia fulani ndani ya muda flani hizo ndo speech ninazotaka...sio usanii wa kutumia lugha hatwendi popote. Magufuli naye ajue kila neno analosema lina...
Kusherekea ama kukaa kimya has nothing to do with the fate of Tanzanians...ungekuwa mzalendo ungeungana na watanzania wengine kusherekea kuapishwa kwa rais Magufuli siyo kukaa humu una bwabwaja....maana hakuna namna ni kumpa ushirikiano...by the way nasikia marais 8 watahudhuria malofa wamesusia
Magufuli hata hivo amejitahidi...kumbuka alisisitiza tangu day one ya kampeni kuwa atakuwa rais wa wote. Sijasikia wapi aliwagawa wananchi....mbona ndugu yetu alisema wamchague yeye kwa kuwa ni Mrutheli? na hiyo ndo blow iliyompata hata sahau.
SI WANAJIITA WA..PU...MBA...VU ni kweli hawawezi kufikiria....mtu anaongea dakika 3 shida ipo wapi?nachojua atakuwa ali-stack mdomo kama kawaida yake....by the way namuombea sana awe na afya njema
Chadema bwana....mwandishi wa habari akiwa kazini hata vitani huwa haguswi...ila kwa chadema ni tofauti, kwani hamjui nafasi ya waandishi wa habari?kama alikuwa kazini kama isomavyo post, mmemkosea sana...
Hivi UKAWA-CHADEMA ni dhambi kuwa na mtazamao tofauti na uka express? Naanza kuona maisha...
Lowassa, Seif, Mbowe, Mbatia, Lissu, Mnyika et al. wamenifanya nichukie siasa. mwanangu Marufku kufanya siasa. Ni ubatili mtupu, asante Dr Slaa na Prof Lipumba......hapa ndipo shule na upu...mbavu vinadhihirika na kamwe haviwezi kukaa pamoja.....wapo watakao sema ...oooh wamehongwa blah...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.