Yaani wewe ni kivulana cha ajabu sana coz hata hustahili kuitwa baba. Kwanza huelewi hata mwenzio yuko katika kipindi gani. Mwanamke baada ya kujifungua inabidi apate muda mrefu wa kupumzika, angalau miezi mitatu ili viungo vyake hasa vya uzazi, mgongo na kiuno vikae sawa tena kijijini kwetu...
Pole sana my dia. Kimbia haraka kamuone daktari na usisahau maombi. Mimba zina maharibu sana. Watu husema mimba sio ugonjwa ila wanawake tunapitia kipindi kigumu sana. Wahi hospitali na ongea na Mungu wako bila kuchoka. Akipanga yeye hakuna atakayepangua. Pole sana
Pouwa mkuu...
but kwenye ule uzi mama naona wanaoenda wote wapo na wenzi wao..sisi tulio singo inakuweje? au nipitie hapa Nyinda nichukue wa fasta fasta wa kuja naye?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.