Kupanda kwa bei ya Umeme wa Tanesco, ndio mema ambayo tumendewa na Serikali hii ya CCM. Hivi kweli tunahitaji kusoma Phd ndio tujue au tuelewe kuwa Nchi hii imefikishwa mahali pabaya? Umeme leo umepanda, Mafuta nayo ndio usiseme, Elimu ndio hio wanafunzi wanafukuzwa wakati wakidai haki zao za...
Kupanda kwa bei ya Umeme wa Tanesco, ndio mema ambayo tumendewa na Serikali hii ya CCM. Hivi kweli tunahitaji kusoma Phd ndio tujue au tuelewe kuwa Nchi hii imefikishwa mahali pabaya? Umeme leo umepanda, Mafuta nayo ndio usiseme, Elimu ndio hio wanafunzi wanafukuzwa wakati wakidai haki zao za...
Polisi wa TZ walivyokuwa wa ajabu, siku ya maandamano wakiambiwa na wakulu wao piga mabomu wananchi, watapiga. Utafilkiri wao hawana shida. Wakati wanaishi kwenye majumba yaliyoooza tena ya mabati.
Polisi wa Tanzania, inawezekana hawajui wajibu wao. Inakuaje hata kwenye uchaguzi wanaaamriwa na viongozi wa Chama Tawala wapige wapiga kura Mabomu kisa ni wa Upinzani? Hivi Polisi ya Tanzania niya Chama Tawala? au Niya serikali pamoja na Wananchi wote wa Tanzania?
Ndugu zangu na Watanzania wenzangu, Tanzania sio Nchi yenye Amani hata Kidogo. Wanaosema Tanzania ni Kisiwa cha Amani niwanafiki tena wanafiki mbele za Mwenyezi Mungu. Tanzania imekuwa ikishutumiwa sana kwa mambo mabaya tena machafu yanayomchukiza Mwenyezi Mungu ikiwa pamoja na Wananchi wake...
Nchi hutafunwa na wenye Meno, Safari nyingi, zinagharimu pesa Nyingi pia, tena hizo pesa ni zetu sisi walalahoi na wavuja jasho. Tanzania ni nchi Masikini sana, kama kweli hizo safari zingepunguzwa jamanii, hizo pesa sizingesaidia hata kununulia Madawa mahospitalini au Vitabu mashuleni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.