Binafsi mengine yote nayapinga ila nina uhakika 100% kwamba baadhi ya courses hazina field practicals hasa social sciences na humanities. Elimu ya tz kwa ujumla ni feki tu, uwe ud au popote
Mamkwe inaonekana una hasira na huyo mkereketwa kupindukia. Lakini Mkereketwa ana mapoint not 2b ignored kam hili la Aziza ambae sasa ni janga la udom kwa upande wetu sisi wanafunzi wa social. Tunalalmika kila uchao lakini hakuna mabadiliko. udom inahitaji kuangaliwa upya
Wana JF hasa wale wenye utaalamu wa sheria, naomba msaada wenu wa neno tajwa hapo juu yaani tafsiri sahihi au maana ya neno APPELATE POWERS ni nini? Asanteni sana
Mdogo wangu alimaliza hapo UDOM mwaka jana, nae hadi sasa hivi hajrudishiwa elfu 20. Unaweza kuona uhusiano uliopo kati ya vitu hivi viwili vifuatavyo;
1. Elfu 20 ya joho ya waliomaliza 2010 hadi sasa haijarudishwa kwa wahusika (Mwenye makosa UDOM au hazina haijatoa pesa?)
2. Wahadhiri wao...
Kwa taarifa tunazopewa na wahusika, kale kajamaa (Mlacha) kana nguvu sana kwa sababu ni rafiki wa karibu na JK. Hata Kikula anamgwaya, Kinabo ndio kabisaaa. Tusubiri tuone mwisho wake
Uchaguzi umemalizika Igunga na matokeo ndio hayo. Mimi nashauri CDM ijiandae kwa ajili ya 2015. Naamini Igunga itakuwa kama ilivyokuwa Biharamulo. Maandalizi pia yafanyike kwa ajili ya uchaguzi wa serikali za mitaa kwani ni sehemu muhimu ya kuelekea 2015. Nawasilisha wana jf.
Kwa mujibu wa HESLB, wanafunzi takriban elfu 37 (37,000) wanastahili kupata mkopo mwaka huu. Bodi ina uwezo wa kuwalipia wanafunzi takriban elfu 24 (24,000). Wengine wote waliobaki, yaani 37,000-24,000=13,000 hawatapata. Hakika huu ni utani.
Kwa taarifa ambazo sijathibitisha, Mke wa RIDHIWANI...
Huyu KIKULA ameshajioneesha wazi kuwa anapendelea Waislamu. Naamini anachokizungumza hawezi kuthibitisha. Mf alipoongea na kamati ya Bunge huduma za jamii, alisema eti wanafunzi walikua wanawapiga wanafunzi wa KIISLAMu, pia eti migomo hii inachochewa na wanasiasa wa upinzani. Hakika huyu mzee...
Asanteni sana wananchi wa ars pamoja na viongozi wetu wa chadema. Asante kwa alieweka picha maana binafsi sikubahatika kuona hata kwenye tv. People's power, mapambano yanaendelea, ccm mtajiju.
Asanteni sana wananchi wa ars pamoja na viongozi wetu wa chadema. Asante kwa aliyeweka picha maana binafsi sikubahatika kuona hata kwenye tv.
People's power, mapambano yanaendelea, CCM mtajiju.
Tumezoea kusikia wanasiasa wa chama tawala CCM wakishutumu chama cha Demokrasia na Maendeleo CDM kuwa ndicho kinachochea migomo vyuo vikuu. Naomba kuuliza, hawa wauza mafuta waliogoma nao wameshinikizwa na chadema?
Ningependa sana wana CCM wenzangu mnijibu.
Nawasilisha
Wana jf, Inaonekana ukiwa mwekezaji serikali inakujali sana kwani utaruhusiwa kubomoa hata majengo ya kihistoria ilimradi unawekeza. Natoa pendekezo la kuuza mbuga za wanyama na madini yote ili tupate mtaji, tugawane, kila m1 apate chake tuende sudan kusini kuwezekeza sababu ina fursa nyingi...
Naipa heko kubwa serikali kwa kuwajali wawekezaji. Nawasihi waendelee kubomoa na mengine na waendelee kuruhusu jamaa hawa kubadili umiliki wa kampuni (mf Airtel nk) wakishachota faida. Nafikiri kwa njia hii serikali itakuwa imetimiza kauli mbiu yake ya siku zote eti "Serikali sikivu kwa Wananchi"
Kama ni siasa UDOM, mhusika namba moja ni CCM. Hili ni rahisi sana kuthibitisha wakati wa uchaguzi wa wanafunzi. Utaona jinsi ccm inavyomwaga pesa. Kuna tetesi kwamba ilitumia m 50 kuhakikisha makada wanapita bila mafanikio.
Hawa wanawawinda tu vijana wa CDM. Kumbukeni wale wakuu wa wilaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.