Asante sana mkuu kwa hi mada coz c waislamu wote 2nawaita wakristu makafiri mi binafsi sipendi kabisa kumwita m2 hivyo,coz km kumtafuta Mungu wote 2namwomba Mungu m1 ila njia za kuomba ndo tofauti, waislamu na wakristu 2pendane jamani,tofauti za kidini zisitujengee chuki baina yetu ila dini ndo...
Achana na masuala kidini bwana yani dic time we bado una fikiria udini2 kwani watangazaji wote wa Aljazeera ni waislamu?au wote ni waarabu?embu tujitahidi kuepuka kuzungumzia haya masuala ya udini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.