Mkuu, ndio maana nimesema, mfumo wa serikali 2 una faida kisiasa kwa viongozi waliopo madarakani na sio kwa mwananchi wa kawaida. Na kuwapa viongozi wa Zanzibar madaraka huku Tanganyika, ni rushwa ya kuwafanya waendelee kuukubali muungano na kuweza kuwalazimisha wazanzibari wenzao waukubali, kwa...
Huu ni Ukweli toka moyoni;
Mfumo wa serikali 3 utavunja muungano. Mfumo wa Serikali 2 Unapendwa na viongozi waliopo madarakani lakini hauwasaidii bali unawapumbaza Wazanzibari ili waendelee kuukubali muungano. Lakini ki- Ukweli serikali 2 sio mfumo sahihi. Hata viongozi waliopo madarakani...
Kwa hiyo bado litabaki kuwa ni la CCM ili kuwatisha wale waoga ambao wanaotaka serikali tatu wasipige kura kuunga mkono kwa kuogopa kibano baada ya kupiga kura.
Mnajua mnapokuwa mnataja kuboresha daftari la wapiga kura kila wakati mtafanya choo cha Mwigulu kijae baada ya muda mfupi? Maana kila anaposikia watu wanataka maboresho lazima jamaa liende kuharisha! Linajua siku zake na Ugaidi lililofanya lazima likapate mume Segerea na kutatuliwa marinda.
Yeye si amesema kwamba ana majina ya wenye fedha Uswis? Tunachotaka toka kwake ni atutajie tu hayo majina. Simple. Kama hana atuombe msamaha kwa kutudanganya kwa muda wote kuwa anayo majina ya walioficha hela Uswis,
Duh! Kweli CCM wamepania! Yaani mwakani ni uchaguzi wa serikali za mitaa. Watu kibao hawajaandikishwa kupiga kura, wanajua 95% ya Vijana hawawataki magamba na watapigia kura upinzani, ndio maana wanafanya juu chini ili wasipate nafasi ya kupiga kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.