Nilidhani unataka kuzungumzia wale wanaoshikaga hapo kwa dudu kama vile wasanii wa ubongo wa fleva!
Ila hii sijawahi kuisikia kbs!
Kweli ukistaajabu ya Musa....!
Ila kuna watu wengine wanajitafutiaga matatizo wenyewe! Mimba ya kwanza umeona umeambiwa uitoe... asa kwanini ajipeleke tena? afu kavikavu sasa! Kwa mtu mwingine...angeshtuka mapema baada ya kuona kilichotokea mara ya kwanza...au angeachana nae...au angekuwa na msimamo kuwa hakuna kufanya...
....hata mbuyu ulianza km mchicha...
...mbea haulizwi....
Wasioipenda clouds wana lao jambo... Inalenga wote, wakubwa, wadogo, vijana, wanasiasa/wanadiplomasia, wenye matatizo mbalimbali...
Usipopenda kusikiliza kipindi flani basi utapata tu kunachokufaa kusikiliza...
Clouds fm.....radio ya...
Inawezekana kuna ukweli flani ndani yake...
Ndoa nyingi ambazo wanawake wanawatii waume zao hudumu... tofauti na ndoa ambazo kila mtu anataka kuwa juu ya mwenzie!
Mwanaume anapenda kusikilizwa na kujiona yeye siku zote ndio muamuzi, yeye siku zote hana kosa, yeye siku zote ni wa kuombwa msamaha...
Kwakweli km kweli unamfahamu huyo dada hana tabia inayofurahisha, mwambie tu huyo sugarbanana wako kuwa hutaki awe na mazoea na huyo dada...km kweli anakupenda na mnasikilizana atakuelewa na mambo yataisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.