Yaani mtoa uzi umeniacha hoi. Hivi ni kweli huoni jinsi Wabunge wa Upinzani hususan CHADEMA wanavyotetea wananchi?suala la ajira, elimu , ardhi na mengine mengi? Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni ,,,,!!!!
Pole weee. Nadhani huwajui wabunge wa CHADEMA wewe. Wote ni majembe mbaya labda Mr Shibs tu. Wapeni moyo na kosoeni kihalali.mimi nawapongeza. Sana ushahidi ni chaguzi za serikali za mitaa
Haha ha kwani wewe hujui wakaskazini ndio wakali wa vichwa???historia iko wazi kumbuka walipoenda UN kudai Uhuru Mangi Marealle alishauri nini?????pili angalia takwimu za shule kimkoa Kabla ya uanzishwaji wa shule za kata. Mwisho chukua takwimu za wanafunzi bora Tanzania kidato cha nne na Sita...
Mi Mwenyewe Niko Tayari Kwenda Msituni Hata Kesho
Hongera sana mdogo wangu Halima . Tunakuunga mkono tuko pamoja. Nimaamini safu yako hasa katibu Mkuu atafanya kazi vizuri. Nia isiwe ubunge wa viti maalum bali kuwafikia Wanawake wengi na hivyo uhakika wa kushika dola. Mbarikiwe na Mungu.
Duh wakuu leo wakali waTume wakiongozwa n'a Jaji Warioba , Salim Ahmed Salim n'a Polepole, Palamagamba , Butiku watakuwa live Ubungo. Blue Pearl Hôtel. Mdahalo utarushwa live ITV. Msikose
Lipumba ni kichwa wacha maana record yake ya kupata A zote katika mtihani wake wa mwisho alipomaliza first Degree 1976 UDSM haijavunjwa!!!halafu inamlinganisha na mwalimu wa UPE??????
Hata mimi nimemshsngaa eti ni Dr halafu na mkewe mbunge Lolensia wa Jimbo la Busanda!!JK nomaaaa yaani we acha tu kaamua kuongezea kura za CCM na si uwezo
This is nonsense BRN at work. You are wondering 43 points been division IV, how about 47point??it's also division IV!!!!!!This means having six Fs and one E you passed , really??Our leaders where are we taking our education, our children????Please have mercy to this nation, I beg you
Kwanza hakuna nchi inaitwa Dubai, pili kweli ni utumiaji vibaya madaraka kama kilichosemwa ni dhahiri. Kwa kuwa kuna vyombo ikiwemo Kamati ya Maadili ya Bunge kuhoji wahusika. Nionavyo Mimi maadili ya watanzania yameporomoka kwa kiasi kikubwa na kuna haja ya kujadili kwa Kina. Ni aibu yetu...
ukisikia uongo ndio huku. Kwanzaa CHADEMA ina Wabunge wawili tu toka kanda ya Pwani mh Halima Mdee na Mnyika na kamwe hawawezi kujadili CCM
Habari hiyo haina mashko Poleni
Hii ni ishara tosha kuwa CDM inaendelea kupendwa na nawahakikishia wananchi ile nchi ya ahadi tunaikaribia. Tuendelee kuhamasisha wananchi kuhusu sera na falsafa ya CHADEMA. Niko Marekani kwa sasa nimefurahia sana ushindi wa Tanga People`ssssssssssssssssssss` Power
hiyo tume imeundwa kwa misingi ipi? Nani kawapa terms of reference?? Halafu tumeona tume nyingi zinazoundwa na serikali hazitoi majibu bora za bunge. hizo fedha zimetoka wapi na ni kwanini zisitumike kuboresha maslahi ya walimu na ukaguzi ???,
Huu ni wakati wa action TEC mko wapi ??? Hatuwezi kukaa kimyaaaaa huku mapadre wetu wanauawa. Nyie ni viongozi wetu hata kama bible inakataza kulipiza kisasi basi tupeni mwongozo wa ama kufunga na kuomba au kuchukua silaha. Imeniuma sana. Tumsifu Yesu Kristu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.