Ushawahi wazia Kahawa. Mtaji wa mbuni ni 1600 ki pakti.
Jana nilibahatika kukaa kijiwe cha kahawa jirani na Mwanza food. Alikuja askari mtaafu ana utani uliokithiri ila niliambiwa amelewa. Kwa utani wake nilipenda sana ika bidi nimwongeze kilaji nikalipia 2000 nikamwambia akachukue alichopenda...
Mbona hakuna utani wowote ndugu?? Ameambiwa mahindi ya kuchoma. Mhindi mmoja unauzwa 200 -300 mbichi anauza 1000 hapo kuanzia mwenge kuja Mbezi bei ni moja. Akichoma mhindi mmoja anakata vipande 4 kwa 300ni 1200. Toa mtaji wa hindi moja 250=950 faida mara mahindi 30=faida tu 46,500 only to...
Supply follows demand mzee. Ukiona una supply kitu hakiko in demand ni sawa na Kupeleka Kambi ya jeshi Kanisani wakiwa full beto. Wanajeshi yako vitani.
Kikubwa ni anzisha hiyo hiyo ya mafuta na kiasi y Kuchoma maana unaambiwa upendacho wewe ni mapenzi yako biashara inaangalia wapendacho...
Alie nacho hakimtoshi.
Huyo mzee anakupima akili tu. Kama anafremu 50 kila fremu kwa mwezi mfano barabarani Dar au za kariakoo M3 kwa mwezi hDi 4m je anajutia??
Kama anajuta mwambie aje Mwaloni tuuze Dagaa tuone kama atakuja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.