thank,inaweza kuwa kweli mana kila msichana alinipenda kiukweli,kila niliemuacha alinililia sio kama nnapesa no niliwaonyesha mapenzi ya dhati bila ya wao kujua kama wapo wengi kwangu,baadhi yao walikuwa wakiniudumia,na wengine wlinizidi umri.unayosema yaweza kuwa kweli,asante bra.
Naomba ushauri wenu,mimi mvulana nina umri wa miaka 27 nilianza kufanya mapenzi nikiwa mdogo sana,hadi hivi sasa sijui idadi ya wnwwake niliowapitia,in short ni mtaalam wa kuwapa haki zao hawa kina dada,kwa sasa nna miaka 4 tangu niachane na huu uhuni baada ya kmpata binti niliempenda na kuamua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.