Ni yangu mkuu...nimeileta tu huku kuchagiza mijadala!!uki-search utaona ni yangu.Na nimefanya hivi kuonyesha kuwa sio COVID tu inaweza kukumbana na changamoto za kutojua namna ya kuikabili, hata UKIMWI uliahidi kuwa hivyo.Tuzidi kuelimishana na kukumbushana
Hatukuwa tumewahi kufiwa na mmoja wa wanafamilia,kwa maana ya kaka au dada wa tumbo moja na baba mmoja.Misiba mingi ilikuwa ni kwa ndugu na jamaa tu wa karibu.Msiba huu wa dada yetu aliyekuwa "kichwa" na msaada mkubwa kwa familia ulitokea mwezi March 1993 wakati huo mimi nikiwa nimemaliza kidato...
Yaani hawa NSSF ni ugoro mtupuuuuu....unaweza ukatandika mtu makofi.Ni bora waseme kama Fao la Uzazi au Bima ya Matibabu haipo ili ijulikane moja,ila sio huu uhuni
Ni week ya sasa Wajawazito katika ofisi mbalimbali za jiji la Dar es Salaam hawapati huduma,iwe Ubungo au Ilala kwa wakazi wa Dar es Salaam.
Inaenda karibu week ya pili sasa kwa wajawazito ukienda kwenye ofisi za NSSF kwa ajili ya Fao la Ujauzito ni kero tupu,sababu mara mtandao unasumbua mara...
Hii ilikuwa kama miaka 10 iliyopita,kuna jamaa alikuwa tapeli sana anakaa mitaa ya Kijitonyama njia ya Sayansi unakuja kutokea huku Tandale(Nimesahau jina).Huyu jamaa alikuwa anatapeli sana wanafunzi wa vyuo vikuu akisema anawatafutia kazi ile Taasisi ya Benjamini Mkapa.
Aliwakusanya sana...
Hii naleta nyingine,baada ya ile niliowaletea ya kumla Sister(Mtawa)
Hii ilikuwa kama miaka 10 iliyopita,kuna jamaa alikuwa tapeli sana anakaa mitaa ya Kijitonyama njia ya Sayansi unakuja kutokea huku Tandale(Nimesahau jina).Huyu jamaa alikuwa anatapeli sana wanafunzi wa vyuo vikuu akisema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.