Pande zote mbili wasikilizwe kwa umakini sana,
Swala la kusukuma mtoto kabla ya muda muafaka linaweza kusababisha kifo cha mtoto,
Na swala la kulabua mjamzito kofi la uso nalo linaweza kumchanganya mjamzito network ikakata,
Hapa wasikilizwe wote kwa umakini mkubwa
Kwani lengo la mumewe kutembea na mdogo wake lilikua mtoto au tamaa tuu,
Km ni mtoto kwanini alikua anamlazmisha atoe mimba??
Swala la leah kusoma ni makubaliano yake na mume.
Na swala la mume kutembea na mdogo mtu ni tamaa tuu.
Usimuhukumu,
mimi kwa zaid ya miaka 10 nilikua naota niko shule, ndoto hii ilinipa maswali kwann niote niko shule, siku moja mwalim mwakasege alikuja kuhubiri mJini kwetu,
Nikaamua kwenda.
Alichoniambia ni kuhusu ndoto hii na kuitafsiri kwamba, nilipokua shule kuna mwanamke aliyeniendea kwa mganga kwa ajili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.