Shukrani sana ndugu zangu japo hatujuani kwa sura lkn jamii forum imenieka karibu n nyie.
Nashukuru kwakuwa nilipokwama nimepajua na nini natakiwa kufanya nimejua na naimani sikuja humu ili kujikweza au kujidhalilisha bali nilitaka mawazo juu ya nn nifanye nikiwa na taadhira ya kutambua...
Dada pesa hainunui kila kitu na sijapenda kupoteza Mke niliezaanae na sijasema yy mkosefu na sitosema hilo. Tungekuwa tuna mwaka mmoja sawa lkn ni miaka.
Na ningekuwa nahisi pesa ni kila kitu tunakutana na madadapoa wengi kwenye kazi zetu ndani na nje ya nchi lkn siko interest na wao. Tena...
Shukrani huwenda ni huruma niliokuwanayo namuonea kulingana na Historia yake. Nikaona kumfanyia wema ndio njia sahihi ya kumtoa alipo. Nikihisi mateso na misukosuko aliopitia nikaona anastahiki kufanyiwa wema. Kwakuwa Historia yake haikuachana mbali sana na yangu kwamba wote tulipoteza wazazi...
Miaka 9 nimingi kukaa na mwenza na kwahekima ya ndoa nilikaa vikao vyakukanyana na Kunakipindi nilimrudisha kwao kwa miezi 6. Nilitaraji akirudi atatambua na kujua namna ya kuishi na majukumu ya familia na sio ukoo.
Lkn sikuwa nimetibu bali niliongeza shida. Ndipo nikamuacha
Shukrani sana ndugu zangu kiukweli nimepata unafuu mkubwa kiakili kwa mawazo yenu. Na namuomba Mungu nisimame kwenye njia ilio sahihi kama mnavyonipa mawazo.
Na kiukweli nimejikuta naona nilivyo wapunja hata wanangu kwa kutoa kiwanja ambacho kama ningekuwa muulizaji tangu mwanzo basi ingekuwa...
Shukrani kwa ushauri. Hakuna aliekamilika ndio maana nimekujaomba ushauri. Labda nikweli mshamba ndio maana nilifanya yote hayo. Ila sikuwa na fikra ya hayo niliona natimiza majukumu. Huyo wa pili sijamjengea ni kiwanja tu.
Na naimani kama ningekuwa na usahihi basi huko kutumia vibaya kipato...
Nashukuru kwa ushauri. Nimeelewa na ndio maana nimeona nimekwama kifikra Kwani naimani kuanza upya sio ujinga bali kujua hatua nilizopiga vibaya.
Na sikutumia pesa ili nipate kupendwa bali nilikuwa naona natimiza majukumu ila shukrani kuna mambo nayapata kwa mawazo yenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.